Hatukushangai kwa maana mwenyezi mungu aliyekuumba ameshasema unayoyadhihirisha ni madogo ila yaliyo ndani ya kifua chako ni makubwa zaidi ya hayo ubarikiwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Anaetetea mitandao hii hajaibiwa huyooo maana wanaojifanya wahudumu wezi,wale mawakala wa kusajili laini huku mtaani ndo kabisaa na mawakala wenyewe wanaibiwa sanaa ninawafahamu ndugu zangu zaidi ya watatu wameshaibiwaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.