Salam kwenu wana JF ,
Leo nina tatizo ambalo naomba msaada wenu kimaombi na kimawazo pia.
Nimeolewa miaka 7 iliyopita mwenyezi mungu katujaalia twins wa kike na wa kiume.
Muda wote wa mahusiano yetu tulikuwa tunakaa mbali mbali sababu ya mazingiraya kazi , lakini kila baada ya miezi miwili au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.