Naombeni ushauri mpenzi wangu ameniblock kwenye namba zote na nikimpigia kwa simu nyingine hapokei!

Naombeni mnishauri nilikuwa na mpenzi nimekaa naye miaka minne kwanzia nikiwa first year had nahitimu, yeye alikuwa certificate ila sasa amebadilika sana ananiumiza sana akili

Kwa sababu nampenda sana! Japo hakuna anayejua nyumban kwa wazazi hata mmoja zaidi sana anajua geto kwangu hivi majuzi tumekosana nikamuomba msamaha akanisamehee, akaja kunikiosea na yeye akavizia wakat sipo akaja geto akaanza kufua na kuniletea vest kisha akaniomba msamahaa! ,

Baada ya hapo ameanza kuchange anakasirika bila sababu nikimpigia sim anakuaa na haraka ya kukata! Kwa sasa anauza duka la mtu na mimi ninafundisha ! nimemuomba aje auze duka langu hataki juzi aliniambia nataka kwenda kanisani kwenye mkesha ila kwa sababu ya kuwa amebadilika nikamwambia kawadanganye watoto..

Maana jana yake nilimwambia nimuone akaniambia amenyimwa na mwajiri wake iweje kesho yake aniambia anaenda mkesha! mimi nikamwambia kawadanganye watoto! jana amechange kabsa anasema tuna mapenzi ya kitto ya kuchungana na bora tuachane! Nikamwambia nisamehee hataki nimempgia simu usiku kucha hapokei.

Leo nimempigia mchana kutwa akaniblock! na simu ya mtu mwngine hapokei! naomben ushauri wapendwa hapo nifanyaje? Wakati nampenda sana na nilimpromis mwezi wa tatu nimlipie arudie mtihani wa form four koz ya certificate yake ni mbovu anaogopa kuomba kazi kwa sababa ya matokeo yake! nishaurini wapendwa maana nimepigwa block na namuomba sana Mungu amrudishe kwangu!


Sent from my iPhone using JamiiForums
Umeachwa. Believe it!
 
Naombeni mnishauri nilikuwa na mpenzi nimekaa naye miaka minne kwanzia nikiwa first year had nahitimu, yeye alikuwa certificate ila sasa amebadilika sana ananiumiza sana akili

Kwa sababu nampenda sana! Japo hakuna anayejua nyumban kwa wazazi hata mmoja zaidi sana anajua geto kwangu hivi majuzi tumekosana nikamuomba msamaha akanisamehee, akaja kunikiosea na yeye akavizia wakat sipo akaja geto akaanza kufua na kuniletea vest kisha akaniomba msamahaa! ,

Baada ya hapo ameanza kuchange anakasirika bila sababu nikimpigia sim anakuaa na haraka ya kukata! Kwa sasa anauza duka la mtu na mimi ninafundisha ! nimemuomba aje auze duka langu hataki juzi aliniambia nataka kwenda kanisani kwenye mkesha ila kwa sababu ya kuwa amebadilika nikamwambia kawadanganye watoto..

Maana jana yake nilimwambia nimuone akaniambia amenyimwa na mwajiri wake iweje kesho yake aniambia anaenda mkesha! mimi nikamwambia kawadanganye watoto! jana amechange kabsa anasema tuna mapenzi ya kitto ya kuchungana na bora tuachane! Nikamwambia nisamehee hataki nimempgia simu usiku kucha hapokei.

Leo nimempigia mchana kutwa akaniblock! na simu ya mtu mwngine hapokei! naomben ushauri wapendwa hapo nifanyaje? Wakati nampenda sana na nilimpromis mwezi wa tatu nimlipie arudie mtihani wa form four koz ya certificate yake ni mbovu anaogopa kuomba kazi kwa sababa ya matokeo yake! nishaurini wapendwa maana nimepigwa block na namuomba sana Mungu amrudishe kwangu!


Sent from my iPhone using JamiiForums
Farewell
 
Naombeni mnishauri nilikuwa na mpenzi nimekaa naye miaka minne kwanzia nikiwa first year had nahitimu, yeye alikuwa certificate ila sasa amebadilika sana ananiumiza sana akili

Kwa sababu nampenda sana! Japo hakuna anayejua nyumban kwa wazazi hata mmoja zaidi sana anajua geto kwangu hivi majuzi tumekosana nikamuomba msamaha akanisamehee, akaja kunikiosea na yeye akavizia wakat sipo akaja geto akaanza kufua na kuniletea vest kisha akaniomba msamahaa! ,

Baada ya hapo ameanza kuchange anakasirika bila sababu nikimpigia sim anakuaa na haraka ya kukata! Kwa sasa anauza duka la mtu na mimi ninafundisha ! nimemuomba aje auze duka langu hataki juzi aliniambia nataka kwenda kanisani kwenye mkesha ila kwa sababu ya kuwa amebadilika nikamwambia kawadanganye watoto..

Maana jana yake nilimwambia nimuone akaniambia amenyimwa na mwajiri wake iweje kesho yake aniambia anaenda mkesha! mimi nikamwambia kawadanganye watoto! jana amechange kabsa anasema tuna mapenzi ya kitto ya kuchungana na bora tuachane! Nikamwambia nisamehee hataki nimempgia simu usiku kucha hapokei.

Leo nimempigia mchana kutwa akaniblock! na simu ya mtu mwngine hapokei! naomben ushauri wapendwa hapo nifanyaje? Wakati nampenda sana na nilimpromis mwezi wa tatu nimlipie arudie mtihani wa form four koz ya certificate yake ni mbovu anaogopa kuomba kazi kwa sababa ya matokeo yake! nishaurini wapendwa maana nimepigwa block na namuomba sana Mungu amrudishe kwangu!


Sent from my iPhone using JamiiForums
Just move ur self the only one u supposed to fell and to love ur parent
 
Naombeni mnishauri nilikuwa na mpenzi nimekaa naye miaka minne kwanzia nikiwa first year had nahitimu, yeye alikuwa certificate ila sasa amebadilika sana ananiumiza sana akili

Kwa sababu nampenda sana! Japo hakuna anayejua nyumban kwa wazazi hata mmoja zaidi sana anajua geto kwangu hivi majuzi tumekosana nikamuomba msamaha akanisamehee, akaja kunikiosea na yeye akavizia wakat sipo akaja geto akaanza kufua na kuniletea vest kisha akaniomba msamahaa! ,

Baada ya hapo ameanza kuchange anakasirika bila sababu nikimpigia sim anakuaa na haraka ya kukata! Kwa sasa anauza duka la mtu na mimi ninafundisha ! nimemuomba aje auze duka langu hataki juzi aliniambia nataka kwenda kanisani kwenye mkesha ila kwa sababu ya kuwa amebadilika nikamwambia kawadanganye watoto..

Maana jana yake nilimwambia nimuone akaniambia amenyimwa na mwajiri wake iweje kesho yake aniambia anaenda mkesha! mimi nikamwambia kawadanganye watoto! jana amechange kabsa anasema tuna mapenzi ya kitto ya kuchungana na bora tuachane! Nikamwambia nisamehee hataki nimempgia simu usiku kucha hapokei.

Leo nimempigia mchana kutwa akaniblock! na simu ya mtu mwngine hapokei! naomben ushauri wapendwa hapo nifanyaje? Wakati nampenda sana na nilimpromis mwezi wa tatu nimlipie arudie mtihani wa form four koz ya certificate yake ni mbovu anaogopa kuomba kazi kwa sababa ya matokeo yake! nishaurini wapendwa maana nimepigwa block na namuomba sana Mungu amrudishe kwangu!


Sent from my iPhone using JamiiForums
Keshapata mtu mwingine huyo, achana nae tafuta mwingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naombeni mnishauri nilikuwa na mpenzi nimekaa naye miaka minne kwanzia nikiwa first year had nahitimu, yeye alikuwa certificate ila sasa amebadilika sana ananiumiza sana akili

Kwa sababu nampenda sana! Japo hakuna anayejua nyumban kwa wazazi hata mmoja zaidi sana anajua geto kwangu hivi majuzi tumekosana nikamuomba msamaha akanisamehee, akaja kunikiosea na yeye akavizia wakat sipo akaja geto akaanza kufua na kuniletea vest kisha akaniomba msamahaa! ,

Baada ya hapo ameanza kuchange anakasirika bila sababu nikimpigia sim anakuaa na haraka ya kukata! Kwa sasa anauza duka la mtu na mimi ninafundisha ! nimemuomba aje auze duka langu hataki juzi aliniambia nataka kwenda kanisani kwenye mkesha ila kwa sababu ya kuwa amebadilika nikamwambia kawadanganye watoto..

Maana jana yake nilimwambia nimuone akaniambia amenyimwa na mwajiri wake iweje kesho yake aniambia anaenda mkesha! mimi nikamwambia kawadanganye watoto! jana amechange kabsa anasema tuna mapenzi ya kitto ya kuchungana na bora tuachane! Nikamwambia nisamehee hataki nimempgia simu usiku kucha hapokei.

Leo nimempigia mchana kutwa akaniblock! na simu ya mtu mwngine hapokei! naomben ushauri wapendwa hapo nifanyaje? Wakati nampenda sana na nilimpromis mwezi wa tatu nimlipie arudie mtihani wa form four koz ya certificate yake ni mbovu anaogopa kuomba kazi kwa sababa ya matokeo yake! nishaurini wapendwa maana nimepigwa block na namuomba sana Mungu amrudishe kwangu!


Sent from my iPhone using JamiiForums
Umemaliza chuo lkni bado akili yako haiwezi kung'amua mambo aya ngoja akusamehe upate maumivu mara mbili kuwa na mahusiano na mtu asiyejitambua anataka nn ni sawa na kuendesha gari lisilo maafuta wala halitaenda na unajua kabisa halitaenda.

Ila tambua tu mchumba asomeshwi. Somesha mdogo wako ivi wanawake wengine hamuwaoni jmn cute b yupo apo humuoni
Mwana kuyataka mwanakuyapata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ingawa hujasema wewe u jinsia gani ila bila shaka wewe ni mwanaume.
Ushauri:Mwanamke akisema tuachane, fanya kama anavyosema usichelewe hata dakika moja.
Ukilazimisha utakuja kulia au kufa bure.
 
Kweli mapenzi yenu yalikuwa ya kitoto, ukiona hivyo jua hupendwi hakuna haja ya kuomba ushauri hapa, jipange upya utafute mpenzi mwingine.
 
wacha ujinga dogo, huyo keshakuona boya,,,,,na usidhubutu kumsomesha,.......we endelea tuu, jifunze punyeto....inaliwaza sometimes.
 
Kwanza pole sana mkuu, kitu unachotakiwa kufanya ni na wewe mpotezee mazima no call no text. Nikisema nikupe moyo nitakua nakudanganya huyo manzi kashapata basha achana nae move on. Kila la heri.
 
Back
Top Bottom