Mkuu umenikumbusha mbali, mwaka 2013 nilihamishiwa kikazi Wilaya ya Newala kutoka DSM, mwanzo nilichanganyikiwa, lakini nikajiambia lazima nipambane, nikakwea mchuma uliitwa MAHUTA EXPRESS ukianzia safari zake Mbagala, humo ukiacha wenye siti, abiria walisimama mistari kila mmoja anageukia...
Alikuwa Kiongozi Mwerevu, Pole kwa familia, ndugu, jamaa na marafiki. Roho wa MUNGU awapunguzie machungu na kuwapa ubaridi wa nafsi. Marehemu apate pumziko la Amani.
Ni kweli, pia Jiografia ya kufika King'ongo ni changamoto hasa kipindi hiki cha mvua.
Inabidi upitie Kimara Mwisho-Michungwani-King'ongo au Kimara Temboni-Matosa.
Hata hivyo, hii haiondoi ukweli kuwa kuna uzembe miongoni mwa watendaji ukimuondoa Mkuu wa Mkoa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.