Kwann usitumie hii njia na ukawa nondo kuliko kuendelea kupoteza muda darasan kusikiliza mhadhiri ambayo yuko sharo?
Tatizo jingine hili kutoamini msomi mkubwa km Dr na Profesa lakin unakuja kuamin ripoti iloandikwa na mwandishi wa habari pengine ni form four failure
Unapotoka chuo na kuingia mtaani unakuja kutumia ujuzi ulioupata na sio kiingereza na hili unaweza kukubaliana namie km huwa unaenda maofisin Lugha wanazotumia kuwasiliana nasi watumishi wengi ni kiswahili japo walijifunza kwa kiingereza mashuleni, hivyo ondoa huu ufinyu wa kukiona kiingereza km...
Kwa maana nyingine unataka kutuambia mtu msomi na mjuvi ni yule tu anayemudu kuzungumza kiingereza?
Hili ni tatizo na janga linalotutafuna watanzania kwa kuwa watumwa wa fikra
Mikopo itanufaisha watu pale tu bank zitakapoweka ulingano sawa wa faida y kutunza hela bank na kukopa hela bank, haiwezekan mtu afungue fixed account awe anapata faida ya 3% kwa mwaka hela aloweka wkt akikopa hela hiyo hiyo kutoka bank, bank inamtoza riba ya20% apo mtu atarajie kutusua kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.