Recent content by Madam vero

  1. Madam vero

    Oeni mabinti wa kisambaa mfurahie maisha

    Umebahatisha ndugu yangu, wasambaaaaa ni wambeaaaa hakuna mfano. Hugo amekaa na wadigo ameadapt tabia za kidigo. Mapz yapo Tanga usiombe upate mdigo utasahau kwenu
  2. Madam vero

    Natafuta mwanamke wa kuoa mwenye umri 42-50 ambaye yupo serious

    Mungu ni mwema utampata tu
  3. Madam vero

    Najuta kuoa mwanamke mlokole

    Tatizo mkuu, mke uliempata sio chaguo lako. We ungemuoa huyo Rachel unaefanana nae tabia. Huwezi kuwa na mke mlokole wakati we sio mlokole, Tafuta wa kufanana naww na huyo mke wako ni mzuri kwasababu anahofu ya Mungu. Achana na wadangaji utapotea
  4. Madam vero

    Mrejesho: Nyumba yangu kuuzwa

    Naomba niwashukuru tena kwa mawazo yenu. Ndoa ni taasisi, tumeshawekwa chini na viongozi wa dini wakaniambia nikubali tu yaishe kuwa mm nilishirikishwa nikawaelewa. Na nimeamua kumove on, sababu imeshatokea na haiwezi jirudia. Na kama msamaha ameshaomba SNA mume wangu na Nimemsamehe. Nawaza...
  5. Madam vero

    Mrejesho: Nyumba yangu kuuzwa

    Tatizo ndugu zangu mwanishambulia SNA, bila kujua tatizo LA upande wa pili. Ni kweli mlinishauri na nilifuata ushauri wenu, yaliyo nikuta history ndefu nilienda mahakaman kuweka zuio mume wangu yy akatafuta wakili akanisomea vifungu, na mm nikambana kwa maswali mwisho wa siku akanitisha...
  6. Madam vero

    Mrejesho: Nyumba yangu kuuzwa

    Ahsante mkuu, Nina hofu ya Mungu nawaza tu MTU kama mume wangu adhabu gani anastahili. Mwisho niseme Mapenzi upofu
  7. Madam vero

    Mrejesho: Nyumba yangu kuuzwa

    Jaman ni story ndefu, naomba niachie hapo. HV mwanaume akutaka lake anashindwa kufanya so anaweza akachukua hati akaepeleka dadaake kumsainisha. Niacheni jaman msiendelee kunitoa machoz nimeshalia SNA, nahitaji faraja yenu na Maneno yenye kunijenga
  8. Madam vero

    Mrejesho: Nyumba yangu kuuzwa

    Ndugu zangu ndoa ni taasisi tumewekwa vikao na ndugu wa pande zote mbili, mume anadai amekosa sina budi kumsamehe na kuanza upya kusorve tatizo. Tulikosa MTU wa kutukopesa pesa hiyo nikaona bora niuze mwenywe maana wala jamaa wakija kupiga mnada wanaweza kuuza hata mill15 nikapata hasara zaidi
  9. Madam vero

    Mrejesho: Nyumba yangu kuuzwa

    Nimeuza kabla ya tarehe maana ingekua aibu kubwa mtaani, kinacho niumiza zaidi nyumba yenye thamani ya mill50, nimeuza kwa sh.mill.27
  10. Madam vero

    Mrejesho: Nyumba yangu kuuzwa

    Aman iwe kwenu wakuu, Kutoka Moyoni mwangu, nawashukuru wana jamvi kwa ushauri mzuri. Japo wapo wapo walio nidhihaki nawao pia nawashukuru pia. Jamani wanaume mnatutesa wake zenu IPO HV wakuu, mume wangu alimchukulia nduguye mkopo wa mill.20 bank akaweka dhamana ya nyumba yetu. Nyumba...
  11. Madam vero

    Msaada: Nyumba yangu inauzwa baada ya kushindwa kumalizia kulipa mkopo

    Tatizo LA Gullam anaona kama masihara, Luna mwanasheria nimepewa namba yke, tumeonana nimemuadithia kila kitu anasema ukitaka nikushughurikie tatizo lako nipe mill2, nimemuomba anisaidie kapunguza hadi 1.5 naitoa wapi hiyo pesa jaman
  12. Madam vero

    Msaada: Nyumba yangu inauzwa baada ya kushindwa kumalizia kulipa mkopo

    Nimeshawapa madalali kazi nauza mpaka kitanda na vitu Vingi tu vya ndani, but vinanunuliwa vyenye thaman ndogo pesa yenyewe ninayo pata nafanyia matumiz ya nyumbani. Yaani Siku ya kufa nyani miti yote huteleza
Back
Top Bottom