Taarifa zilizopo ni kuwa dokta bado yupo nairobi na amelazwa katika hospital ya aga ghan akiwa katika chumba cha ICU baada ya kufanyiwa operesheni ya kichwa na yupo ktk uwangalizi mzuri na hali yake inaendelea kuimarika TUENDELEE KUMUOMBEA
kaka naona unamtetea mhusika ambae uchunguzi wake umepita chini ya FBI
Au coz jina lake AMBROSE(mkiristo) anyway angekua muislamu ungetetea ww NYINYI MUNAUWANA WENYEWE NA BADO MTAUWANA Xana tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.