Recent content by mactal

  1. mactal

    Msaada wa kazi

    Habari wakuu.. Mimi kijana wa kiume umri early 30's.Naombeni mwenye kazi yeyote halali alieko dodoma mjini anisaidie, Naweza kufanya kazi zinazohitaji kutumia nguvu au hata inayohitaji elimu ya darasani elimu bach.degree tourism vilevile computer technician with huge experience..nipo tayari kwa...
  2. mactal

    Msaada Software for data recovery

    Min tool data recovery
  3. mactal

    Naombeni msaada, mwenzenu napitia kipindi kigumu sana cha Msongo wa Mawazo

    Asante mkuu nataman ningekua karibu maana ningeshinda huko siku nzima.. maana nataman sehemu kichwa kiwe busy through out..
  4. mactal

    Naombeni msaada, mwenzenu napitia kipindi kigumu sana cha Msongo wa Mawazo

    Kudhulumiwa + loss kwenye ujasiriamali niliokua nafanya.
  5. mactal

    Naombeni msaada, mwenzenu napitia kipindi kigumu sana cha Msongo wa Mawazo

    Habari za jioni wana jamii wenzangu. Naombeni msaada mwenzenu napitia kipindi kigumu sana cha msongo wa mawazo, nahitaji mtu wa kukaa tukaongea tu nimechoka na sasa naogopa kukaa ndani peke yangu. Nilijitahidi nibadilishe mazingira lakini bado hali imegoma kukaa sawa. Kusali nasali sana na...
  6. mactal

    Unakumbuka nasaha/maneno yepi ya Baba/ Dingi/ Mshua wako?

    Niliambiwa nitumie sana akili kuishi..
  7. mactal

    Wanasayansi wa hypersonic wafungwa 🤣

    Wafichwa ili kulinda wasiuze tekinologia zidi ya mahasimu
  8. mactal

    Naomba msaada kwenye Iine ya Halotel.

    Kama una line nyingine..piga *106#..chagua namba 2 namba za simu ulizosajili..kisha ingiza namba yako ya nida..itakuonyesha namba zote ulizosajili kupitia NIDA yako.
  9. mactal

    Je, wajua? Kukimbia kuligunduliwa na Thomas Running mwaka 1784

    Ni sawa na asili ya neno hello kwenye kupokea simu
Back
Top Bottom