Habari wakuu.. Mimi kijana wa kiume umri early 30's.Naombeni mwenye kazi yeyote halali alieko dodoma mjini anisaidie,
Naweza kufanya kazi zinazohitaji kutumia nguvu au hata inayohitaji elimu ya darasani elimu bach.degree tourism vilevile computer technician with huge experience..nipo tayari kwa...
Habari za jioni wana jamii wenzangu.
Naombeni msaada mwenzenu napitia kipindi kigumu sana cha msongo wa mawazo, nahitaji mtu wa kukaa tukaongea tu nimechoka na sasa naogopa kukaa ndani peke yangu. Nilijitahidi nibadilishe mazingira lakini bado hali imegoma kukaa sawa.
Kusali nasali sana na...
Kama una line nyingine..piga *106#..chagua namba 2 namba za simu ulizosajili..kisha ingiza namba yako ya nida..itakuonyesha namba zote ulizosajili kupitia NIDA yako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.