Katika hali ya kushangaza kabla hata ya mchakato wa uchukuaji na urejeshwaji fomu za kugombea nafasi za ubunge na udiwani jimbo la Musoma Mjini mbunge wa jimbo jimbo hilo anaemaliza Muda wake vedastus mathayo alifanya ziara ya kuwashukuru wananchi kwenye kata zote 16 za wilaya hiyo akiwa...
Ni kweli kabisa sasa wanapokuwa wanalalamika kwenye vyombo vya habari wanamaanisha nini kwamba wananchi ndio wakawakamatie hilo jizi lenye kipara bila busara?
Na mpk alikuwa anajinufaisha nayo wao walikuwa hawajui hilo kwasababu credentials zote ikiwa ni acc ya chma alazima ziwe kwenye files...
Sasa kama kagame hausiki kama alivyokuwa akikanusha hapo awali inawezekanaje ashiriki mazungumzo ya vita ya nchi nyingine na kuahidi kukomesha mapigano huku yeye hana vikosi huko? Kwani M23 wao wako wapi hapo? Kwamaana hiyo kagame ndiye kawawakilisha au?? Mbona mauzauza? Kongo pigeni hako...
Kwani siku hizi kulipwa posho waandishi wa habari nayo ni sehemu ya haki ikiwa source amekwisha kukupa tip ya story? Hivi waandishi tunakwenda wapi? Mpaka mmepeleka na madai? Duuh hii taaluma jamani mbona hiyo ni rushwa sasa! Mfano tukisema huwa mnaandika story kwa sifa mapambio na mbwembwe...
Yaani DP W ni kero kubwa sijui hizi takwimu wanazitoa wapi? Tumeagiza mzigo wetu wa jumping castle na vifaa vya kuchezea watoto zikiwepo swiming pool za kujaza hewa tangu mwezi wa 10 mwaka jana mpk juzi tarehe 28 oct ndio tumepata mzigo na kwa usumbufu mkubwa meli ikikaa kwenye gat bila kutoa...
The football federation in Libya should be taken strict legal measures so that it becomes a lesson for the federations of other countries with similar behavior to embrace non-football behaviors
Tanzania is the victim of some of the atrocities committed by Libyan clubs and the country's...
Na huu usimba na uyanga huu ndio unaoipa nchi aibu wenzetu nchi zao zina angalia taifa kwanza wameset priorities na siyo ushabiki ukiona hivyo ni kuwa kuna waliobora zaidi yao km unavyojua DR congo ivory cost ni nchi zenye mpira na vipaji vingi kulinganisha na bongo huo usimba uyanga umeigharim...
Tuchangie makosa? Kujirekebisha usomeke siyo ujinga hiyo ni brand ya mtu unaitia doa kwa jina la mtu halafu unataka upewe mchango upi? Nihusiane na defamation? Kivipi sasa? No research no right to speak 😀
Barabara ya kibada-mwasonga inayoendelea na ujenzi mkandarasi hajaweka barabara ya mchepuo (diversion) kitu kinachopelekea watumishi wanaojenga barabara hiyo kuwazuia watumiaji wa barabara kutopita mpaka wamalize kazi yao kitu amabacho kinazua usumbufu mkubwa hivyo watumiaji wa barabara wakiwemo...
Picha eneo zima la mrusi lilipo ndani ya ukrain mpaka wanalia kuhusu furusha watu wao halafu taarifa zinasema kuwa mkoa wa kieb ndio ulio na vikosi na silaha muhimu sana zinazowapa nguvu ya mashambulizi ukrain halafu putin ndipo ametarget then what yaani unakimbia kuteka mkoa mmoja unaacha mikoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.