pesa inang'arisha bhn watu wanatokea huko kolomi... wakiwa mavumbi kama ngoswe ila wakipata hela tu wanang'aa na maringo yanaanza. bongo bila hela hupendezi wala kupendwa
p
PM is right! hajaleta ushabiki manake haya mambo hayahitaji ujuaji kwani mitego itateguka na lengo mahususi kupotezwa ikiwa mtu anatajwa kiholela holela pasina kufuata taratibiu za kiuchunguzi zinazozingatia weledi wa kazi husika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.