Recent content by machala

  1. machala

    Ukiambiwa ubebe watu ulio fanya nao mapenzi uta tumia chombo gani cha usafiri

    Mwendo kasi na watakavyo shona humo ndani kama abiria wa kimara 😅
  2. machala

    Mafao yangu siyaoni kwenye akaunti ya benki

    expedition Claim status inasoma paid mkuu.
  3. machala

    Mafao yangu siyaoni kwenye akaunti ya benki

    balibabambonahi Eeh mkuu ni active
  4. machala

    Mafao yangu siyaoni kwenye akaunti ya benki

    Cheque ya malipo kutoka nssf inaonesha imeshaenda fimboyaukwaju sawa ndugu nashukuru lakini uwa inawezekana malipo kufanywa na nssf ikachukua zaidi ya siku mbili kupata hela yako kwenye akaunti?
  5. machala

    Mafao yangu siyaoni kwenye akaunti ya benki

    Habari za asubuhi ndugu zangu mimi nachangamoto moja niliandikisha madai ya mafao yangu nssf yanaonesha yameshalipwa siku ya tatu leo lakini bado sioni amaunt kusoma kwenye akaunti yangu ya benki, shida inawezakuwa nini?
  6. machala

    Nssf mafao

    Habari za mchana wadau samahani ningependa kujuzwa madai ya mafao ya nssf yakiandika approved claim status ina maana gani na je uwainachukua mda gani mdai kulipwa mafao yake maana claim Status tangu isome approved ni wiki sasa na akaunti inasoma amount 0.00 lakini bado sijalipwa shida inaweza...
  7. machala

    Tatizo la kujaa miguu inasababishwa na nini?

    Habari zenu ndugu? Kama kichwa cha habari kinavyo eleza mimi nina ndugu yangu anakama wiki sasa anasumbuliwa na tatizo la kuvimba miguu pindi anapokuwa amekaa au kutembea kwa mda mrefu lakn akilala inasinyaa shida itakuwa nn..?
  8. machala

    Nimeangalia mwenendo wa malipo yangu kwenye akaunti ya NSSF, nimekuta claim status imeandika pending, Hii ina maana gani?

    kyagata habari yako mkuu naona claim status ya akaunti yangu imesoma approved tangu jumatatu lakn bado aijawa paid mpaka leo shida inaweza kuwa nn?
  9. machala

    Ofisi ya uhamiaji watangaza nafasi mpya za kazi, November 2024

    Wakuu mbna mm nikijarb kutuma nikifika hii atua inaniandikia ivo
  10. machala

    Nimeangalia mwenendo wa malipo yangu kwenye akaunti ya NSSF, nimekuta claim status imeandika pending, Hii ina maana gani?

    kalemauji Amen..ila ningependa kujua na ikishakuwa approved claim status uwainaweza kuchukua mda gani kuwa Paid kiongozi ?
  11. machala

    Nimeangalia mwenendo wa malipo yangu kwenye akaunti ya NSSF, nimekuta claim status imeandika pending, Hii ina maana gani?

    Habari za jion wa wakuu, Leo nimejaribu kuangalia mwenendo wa malipo yangu kwenye account yangu ya NSSF imekuta claim status imeandika pending hii inamaana gani? Na ni takribani wiki ya nne tangu ni wasilishi fomu. Ahsanteni
  12. machala

    Nimechoka na Mahusiano Yangu. Naomba ushauri

    Achana nae mkuu tafuta mwanamke anaeweza kukusikiliza
Back
Top Bottom