Je,hi yo akaunt ni active?me INA salio la kuanzia elf kumi?Habari za asubuhi ndugu zangu mimi nachangamoto moja niliandikisha madai ya mafao yangu nssf yanaonesha yameshalipwa siku ya tatu leo lakini bado sioni amaunt kusoma kwenye akaunti yangu ya banki shida imawezakuwa nini
Yawezekana shida ipo kwenye hiyo benki yako,nenda kwenye tawi lako ukaulizieHabari za asubuhi ndugu zangu mimi nachangamoto moja niliandikisha madai ya mafao yangu nssf yanaonesha yameshalipwa siku ya tatu leo lakini bado sioni amaunt kusoma kwenye akaunti yangu ya banki shida imawezakuwa nini
fimboyaukwaju sawa ndugu nashukuru lakini uwa inawezekana malipo kufanywa na nssf ikachukua zaidi ya siku mbili kupata hela yako kwenye akaunti?Yawezekana shida ipo kwenye hiyo benki yako,nenda kwenye tawi lako ukaulizie
Hapana,nssf wakishakutumia meseji ujue zishaingia kwenye akaunti yakoCheque ya malipo kutoka nssf inaonesha imeshaenda
fimboyaukwaju sawa ndugu nashukuru lakini uwa inawezekana malipo kufanywa na nssf ikachukua zaidi ya siku mbili kupata hela yako kwenye akaunti?
Umewauliza hao Benki wanasemaje ? Je inatumia siku ngapi pesa kuweza ku clear ?; Sisi wote hapa tutakupa porojo tu, ni benki wenyewe ndio watakupa jibu la uhakikaHabari za asubuhi ndugu zangu mimi nachangamoto moja niliandikisha madai ya mafao yangu nssf yanaonesha yameshalipwa siku ya tatu leo lakini bado sioni amaunt kusoma kwenye akaunti yangu ya benki, shida inawezakuwa nini?