Recent content by Maccavelli

  1. Maccavelli

    Msaada wadau wa JF

    Habari ya kutwa nzima wadau .? Simu yangu aina ya Tecno L8 imeanza tatizo la kunisumbua charge siku ya pili leo, ukiweka kwenye charge inaweza pandisha asilimia labda hadi 15 ikaonyesha inapeleka chaji ila haito ongezeka hata niichaji siku nzima, . Nimebadili system charge nikijua imekufa ila...
  2. Maccavelli

    Wakaka ikikutokea hali hii utachukua uamuzi gani

    Nitamuoa alie nipambania tangu nikiwa shuleni mpaka nilipo fikia asee.
  3. Maccavelli

    Patrick Ngowi ni nini kimemsibu mpaka kufanya biashara haramu?

    Issaya yunge ni founder was soma ap mtandao unao jihusisha na kuwatafutia wanafunzi vyuo nje ya nchi na uzamini pia,
  4. Maccavelli

    Lushoto: Giftland lodge/hotel kupigwa mnada Jumamosi tarehe 20/07/2019

    Dah nilipo fanya fild wakati huo hii ilikua njia yangu, hii hotel kama sijakosea ipo karibu na town maeneo ya IJA chuo cha uongozi wa mahakama,
  5. Maccavelli

    Nchi inasherehekea Pasaka kama msiba, hakuna shamrashamra!

    Kumbe Pasaka ni kesho? Dah maisha yanakimbia sana.
  6. Maccavelli

    Members waliojiunga JF kuanzia 2006-2008 hadi leo hawa hapa, Je umemtambua nani aliye active hadi leo?

    Kitambo sana hapo sijui hata kama ntakuja miliki smartphone std 7 (2007)
  7. Maccavelli

    Rais Magufuli aguswa na utendaji wa JWTZ, amwaga vyeo na ajira

    Asante mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Maccavelli

    Niko hospitali napima HIV

    Ndio mkuu sikuuona huu uzi mwaka Jana, nimekutakia kheri tuu sio mbaya hata sasa Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Maccavelli

    Niko hospitali napima HIV

    Hongera mkuu,kila la kheri Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Maccavelli

    Faini za makosa barabarani

    Sio kukimbia sababu kasimamishwa mkuu, labda unaendesha basi leo kesho ukaacha kazi watakupata wapi nafikiri ndio sababu y kutoza faini gari nasio mtu, pia sihuwa inakuwepo na lessen no?ktk zile risiti,ila zaidi wanadeal na chombo.ngoja wajuzi zaidi waje hapa. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Maccavelli

    Faini za makosa barabarani

    Dereva akikimbia gari linabaki Iinabaki ushahidi mkuu, Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Maccavelli

    Walimu wa Sekondari walioomba ajira za Serikali, wajiandae Kisaikolojia

    Kazi ninayo sijui nitajichimbia chaka gani mimi nikikumbuka maisha niyo tokea we mwenyezi mungu unikumbuke nami kwani siku ngumu zaidi za mateso ya mwana wa adamu zinakaribia,naona kabisa hata yale mateso ya mama yangu hayato futika kwani aliuza hadi nguo zake nipate elimu ehh mungu wangu...
  13. Maccavelli

    Vifaranga wa broiler unapata kesho kesho Kwa 1,400

    Kampun gani mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom