Recent content by Maccavel01

  1. M

    JamiiForums Tanzania Hapo mtaani kwako wangapi mnatumia JF?

    Sio kweli, siku hizi vijana wengi tunatumia sana jamiiforum , Mimi mara kadhaa hata nikiwaga darasani huwashawishi Wanafunzi wenzangu kutumia hii platform, binafsi nimeanza kutumia jamiiforum since niko form two till now niko chuo Kwa mtaani ninamfahamu lecturer Mmoja anatumiaga jamiiforum
  2. M

    JamiiForums Tanzania Mfano Rais akawachangia CHADEMA tonetone, Hali itakuwaje?

    0 Umemaliza mkuu, assumption can't be reality,
  3. M

    JamiiForums Tanzania Mfano Rais akawachangia CHADEMA tonetone, Hali itakuwaje?

    Sahihi lakini mheshimiwa kama Raia na mtanzania, akaguswa na hili suala la kuwachangia chadema, as raia wa kawaida Wanachanga, chadema watapokea?
  4. M

    JamiiForums Tanzania Mfano Rais akawachangia CHADEMA tonetone, Hali itakuwaje?

    Inaweza kuwa tiketi, ili mheshimiwa aonekane ni mwema
  5. M

    JamiiForums Tanzania Mfano Rais akawachangia CHADEMA tonetone, Hali itakuwaje?

    Inatokea Rais samia, nae akaguswa na tonetone la chadema, akaamua kuchanga hata million 50, Je chadema watapokea huo mchango? Je watanzania wataona ni njia kuelekea maridhiano? Je kweli Rais anaweza kuwachangia chadema, au ni jambo lisilowezekana Mpira naurudisha kwenu ma great thinkers...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Kama ulikuwa hujui kuwa Dar es Salaam kuna sehemu kuna bomba kubwa limeingia baharini, wacha nikufahamishe...

    Mwandishi asikosolewe, Kuna ukweli uliochanganyikana na uongo, imenibidi tools zangu ikiwemo Google lens kuhakiki uhalisia wa taarifa hii. Ukweli Kuhusu Bomba Hilo Mfumo wa "Sea Outfall": Bomba hili ni mfumo mkubwa wa kusafirisha majitaka ya jiji kutoka maeneo mbalimbali ya Posta, katikati ya...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Tabia nyingine ya kikuda ni Kumkumbusha mwenzako Mambo ya Jana Kwenye Pombe

    Japo Mimi si mnywaji lakini hii kitu inakata sana, Kwanza mtoto wa kiume kuwa mbea mbea hata haipendezi
  8. M

    JamiiForums Tanzania Magufuli alikufa kwa Corona hata kama maandiko ya awali yana match tulichosema Mwaka huo, tuache conspiracy

    Hiyo tweet inaweza kuwa edited,na hata AI anaweza generate hicho kitu
  9. M

    JamiiForums Tanzania Je, mabomba ya maji safi yanayopita mitaroni hayahatarishi afya ya wananchi, hasa ikitokea yamepasuka mtaroni? Wataalamu watuelimishe

    Katika maeneo mbalimbali nchini, hususan kwenye miji mikubwa kama Dar es Salaam, Dodoma, Mwanza na mingineyo, ni jambo la kawaida kuona mabomba ya kusambaza maji safi yakipita ndani au pembeni mwa mitaro ya kupitisha maji machafu. Hali hii imekuwa ikinifanya niwe na maswali mengi ambayo naamini...
  10. M

    JamiiForums Tanzania KERO DAWASA kwanini mmeshindwa kutoa majibu kwa Wakazi wa Mbezi Beach maji ya bomba kutoka machafu kwa muda sasa

    Wakuu, katika pita pita zangu mitaani huwa nakutana na mabomba mengi ya maji safi ya DAWASA yakiwa yamepasuka. Sasa mbaya zaidi ni pale unapokuta bomba limepasuka mtaroni, yani mitaro ni michafu, alafu bomba la DAWASA likivujisha maji Kwa mazingira mengi ya mitaro ya Jiji la dar es salaam ni...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Msaada: Ninahitaji damu kwa ajili ya mgonjwa, wapi naweza pata kwa kununua?

    Nilishawahi kusikia Kwa Wale wachangiaji dam wa mara Kwa mara hupewa kadi ambazo huwasaidia Incase wao au ndugu zao wanahitaji kuongezewa damu, nafikiri Wanaweza kusaidia. Lakini kisheria damu haiuzwi popote pale.
  12. M

    JamiiForums Tanzania Dunia ya giza nyuma ya kuta za mochwari

    "Hatimaye, vyuma vya matibabu vinavyookolewa baada ya miili kuyeyuka, kama vile nyonga za bandia, hukusanywa na kampuni za siri kamq chumq chakavu ili kuyeyushwa tena na kutumika kutengeneza magari na ndege 😀🥺"
Back
Top Bottom