Nafikiri hizi itakadi hasi kuhusu ndoa zinatokana na uwoga wa majukumu kwa vijana na roho ya ubinafsi. Ukiwa kwenye ndoa na mtu sahihi kwako na ukawa tayari kubeba majukumu,hakuna uhuru utakaokosa.
Mwisho wa siku huu ni wito ambao sio lazima uuingie,ila ni muhimu kuwa na ndoa katika wakati sahihi.
Pole sana mkuu!!unahitaji kubadili huo mtazamo wa kurogwa kwanza,kisha ukaweka juhudi katika tiba ya kisayansi na mazoezi. Niliwahi kupata tatizo kama lako nikiwa mwaka wa pili chuo,nimetibiwa sana Muhimbili, lakini nilipambana mpaka nikahitimu chuo na sasa naendelea na shughuli zangu kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.