Kaka hili nilishalisema sana.
Watu wa TBC wanaboa baraa!
Wao ndo wanakuwa wazungumzaji wakubwa .
Nimehamia chanel10 saivi au clouds.
TBC mpaka ifumuliwe.
Kiujumla vyama vya upinzani mwaka huu vina khari Mbaya sana.
Huku jpm
Huku mwinyi
Huku Samia suruhu
Huku majariwa!!!!?
Vibwagizo vya wanamziki wte!!!
Sijajua mbunge wa upinzani atakae rudi bungeni.
MAHAKAMA ya kisutu imeshtukia janja janja ya ZITTO .
Huyu bwana alinyoa kabisa akijua ataenda jera ili asingizie wamemwogopa kuelekea uchaguzi Mkuu ujao.
Hizo mbinu zenu zimeferi ila baada ya uchaguzi ukirudia unakula mvua! Upigwe kwanza huku kwenye kisanduku cha kula mwezi October. Ili ukoswe...
Acha uongo we! Wa America weusi wanaandamana mpaka Leo wakitaka hao askari wafunguliwe Mashtaka kiasi cha kuchoma moto kituo cha police we unatudanganya hapa! Nawaandamanaji Mr president kawaita vibaka Na akaamuru wapigwe risasi.
Jehu.
Kuna wajinga frani wanawashabikia sn wa marekani! Kiasi kwamba akikuambia usiingie nchini kwake unahisi utakufa! Wamuulize yule barozi wa USA hapa Tz kwanini hajatoa tamko LA kuuawa mwafrica huko kwao?
Huyo alikuwa anajua, Na alikuwa anafanya Kwa maelekezo, hivyo asingefanya kinyume cha maelekezo, angekuwa mstaarabu angeeleza pale uwanja wa ndege lkn alitaka atomize maelekezo ya Kazi yke.
Huwa wanafanya Kwa maelekezo maana wanakuwa wanalipwa .
Mzee umeona mbari sana. Hili nijambo fikiriki, lakini mm imenifanya nifikiri mbere zaidi!
Nimda Sasa Kwa waziri Na naibu waziri wake wakae pembeni!
Sababu Ni hii...
Waziri wa afya alisema wamefunga mitambo sehem zote nyeti kuwapima wageni wanao ingia nchini vikiwemo viwanja vya ndege...
Kifupi nikwamba Tanesco MWANZA iliharibika, kunawatu wamekaa hapo miaka nenda rudi kiasi cha kujiona wao ndo MWANZA
Hata mama alitolewa Kwa kigezo kuwa mkoa umemshinda lkn kiukweli alikuwa anahujumiwa ila hakuwa Na uwezo wakubana watu wake.
Huyu bwana namjua tangia akiwa Ruvuma kwenye Umeme wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.