Hata mimi nimepitia changamoto hii kuandikiwa deni gari ikiwa morogoro-ifakara,
Nikifuatilia polis lakini sikupata msaada wowote ,zaidi ya wao kusema inawezekana ulimpa mtu gar akaenda huko!!?
Mwisho wa siku ilibdi nilipe deni la kosa ambalo gari haijawahi kufika ifakara, niusumbufu tu barabaran
Ni sawa na Magufuli pamoja na kazi kubwa aliyofanya ya kujenga nchi; Lakini kuzuia chanjo ya COVID huo ulikuwa mwisho wa mipaka ya uvumilivu wa vyombo vya usalama
Yaan hapo kwenye kumpiga chin halafu ukarudiana naye ndio hisia zako zipo kwa hiyo bint, Muoe! Bora hiyo hisia hazipo;zitakuja na hutoteseka,
LKN pale kwenye 9/10 wife material vyombo kwenye kabat vianze kugongana utamkumbuka X,
Kama Binti anajishughulisha na ana akili ya maisha, Chukua huyo
Utasikia ges imeisha! Utajikung'uta vijana wapate kula.
Ngoja sasa akope huko au atoe hela yake kwa jambo la familia, yaan mpaka utakereka hilo deni utafikria kausha damu
Nimependa hapo kwenye kumuachia nyumba mwezi mmoja apaone kwenye familia kama patamtosha😂
Hilo ndio wazo langu huzunguka ktk chwani changu ili apake kupunguza makelele yake na ubinafsi
Haya mambo hayana mwenyewe! Hawa dada zetu akili zao wanazijua wenyewe, ukiishi na mwanamke ndani kuna mengi utayasikia na kuyaona.
Kuta ziendelee kutuficha
Asante sana kwa kulitambua hilo ijapokuwa wanawake wengi hawalioni hilo.
Kilicho kichwani mwake ni yeye yeye tu na kuangalia watoto na si familia kwa ujumla kama baba afanyo
Gari yangu ina tatizo kama hili la oil kupungua,
Haina changamoto yoyote kwenye speed au nguvu.
Tatizo wakati wa kuiwasha asubh kama itakuwa imekaa siku bila kuiwasha inatoa moshi na pop sound.
Tatizo hili mafundi wamekula hela yangu sana na tatizo bado lipo, nimelikubal !
Ushaur wako mkuu
Gari yangu ina tatizo kama hili la oil kupungua,
Haina changamoto yoyote kwenye speed au nguvu.
Tatizo wakati wa kuiwasha asubh kama itakuwa imekaa siku bila kuiwasha inatoa moshi na pop sound.
Nenda wakala wa misitu TFS lipia gharama za kila mlango au bidhaa yyote ya mbao ni rafiki sana na fuata masharti yao ya kusimama kwa kila geti kwa ukaguz.
Mambo ni rahisi sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.