Alichokisema kibajaji Mimi naona kapigilia msumari wa bati kwenye maneno ya bashiru , kibajaji angemalizia kwa kumshauri bashiru aombe msamaha kwa watanzania kwa kosa walilofanya CCM kutuletea Tena raisi mbovu kuliko marehemu, tabu vigezo mlivyotumia kumpitisha huyu ni kulinganisha Samia na...
Awamu hii imetusaliti wale wote TULIOKULA CHA MAGUFULI, katika maeneo na wakati mbalimbali na kiukweli aliyefaidi mapigo na midundo ya MAGUFULI ni CCM kwa mfano;-
(1) wabunge feki 19 wa cdm CCM inafaidi kimataifa misaada inapata
(2)wenye kesi pccb wengi wao walitumika kwenye halmashauri za...
Huyu Mama mbona amefanana kila kitu na Jiwe, lijiwe nalo livyookota CCM pale mitaa ya Lumumba, akaanza mbwembwe za huyu bibi kinaje kinanguruma,akafika mahali akaanza kukorokochoa roho za watu kama kina Lissu , akajiona mungu, mwisho wake mliona Jiwe kuugua tu na kundei pale muhimbili alikataa...
TAKUKURU hii ya Sasa ni kama uvccm tu, Tanzania inahitajika katiba mpya ambayo ukiemda TISS, CAG, PCCB, unawakuta wako huru, mavy0mbo kama hayo uanakuwa huru ungeona siku Samia anamteuwa P Mpango kuwa makamu jioni angekamatwa pamoja na sabaya, na Ile Mwigulu anamaliza kusoma bajeti ya mwaka wa...
Hicho kibibi CCM, nakiona ni aina ya vibibi vikisafiri kutoka Iringa kwenda dsm kikifika ipogoro kinanunua muhindi wa kuchemsha kinakula , kikifika igumbilo kinanunua yoghurt ya buku kinakunywa, kikifika ilula kinanunua nyanya kindoo kimoja
Huyu mama yao kina MWIGULU, Shaka hakualikwa, hata angealikwa badala ya kumzungumzia marehemu, angeanza kutaka miradi ya kimkakati anayotudanganya anamalizia,
Huyu mjingajinga wetu hawawezi mwalika huyu akazanage kuhudhuria misiba ya vijana wake wa kitengo Cha chawa wasiojulikana, kama TISS, PCCB, CAG nk, kuapishwa Ruto tu Kenya wamemtosa SSH na bado
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.