Equitable
JF-Expert Member
- Dec 24, 2021
- 2,124
- 5,698
Naona nchi kama tatu za Afrika wanarusha satelaiti zao kwa ajili ya matumizi mbalimbali ikiwemo mazingira na usalama.
Naona nchi kama Rwanda ikiwa na viwanda vya simu na magari.
Naona nchi zingine Afrika zikiwa na utaratibu wa kuitafuta teknolojia mbalimbali duniani.
Je, Tanzania tumejiadaaje kwa hayo?
Mbona sioni wasomi wakiyasemea?
Siku hizi hatupeleki watu kusoma nje ?
Au tunapeleka watu wasio na uwezo mradi awe mtoto wa fulani?
Tuna ujasusi wa kiuchumi au tupotupo tu?
Usalama wanaopata mafunzo ni kweli wana weledi au tunaangalia kama baba yake ni kada au alikuwa kada wa chama?
Taifa linahitaji mfumo imara usioangalia chama bali Utanzania.
Iko siku kutatokea vita na nchi jirani watanzania maskini wanaotelekezwa na serikali watakataa kupigana pengine kuungana na adui.
Serikali ijitafakari upya.
Naona nchi kama Rwanda ikiwa na viwanda vya simu na magari.
Naona nchi zingine Afrika zikiwa na utaratibu wa kuitafuta teknolojia mbalimbali duniani.
Je, Tanzania tumejiadaaje kwa hayo?
Mbona sioni wasomi wakiyasemea?
Siku hizi hatupeleki watu kusoma nje ?
Au tunapeleka watu wasio na uwezo mradi awe mtoto wa fulani?
Tuna ujasusi wa kiuchumi au tupotupo tu?
Usalama wanaopata mafunzo ni kweli wana weledi au tunaangalia kama baba yake ni kada au alikuwa kada wa chama?
Taifa linahitaji mfumo imara usioangalia chama bali Utanzania.
Iko siku kutatokea vita na nchi jirani watanzania maskini wanaotelekezwa na serikali watakataa kupigana pengine kuungana na adui.
Serikali ijitafakari upya.