Recent content by Mabafu

  1. M

    Askofu Mwamakula: Sikutarajia yaliyoandikwa na Kabendera yangewekwa hadharani wakati wa uhai wangu

    Huyu mzee naye ni mganga njaa tu,ukiona mtu anapambana na marehemu huyo ana changamoto za Afya ya akiri.
  2. M

    PICHA: Naombeni kujua huu ni ugonjwa gani unaotutesa hivi mimi na familia yangu

    Dawa yake ni elfu mbili tu,na ni ya kupaka inaitwa BBE,tusimgeuze fursa ndugu yetu.
  3. M

    PICHA: Naombeni kujua huu ni ugonjwa gani unaotutesa hivi mimi na familia yangu

    Huu ni upele,kitaalamu unaitwa scabies,tumieni dawa inaitwa BBE. Huu ni ugonjwa wa upele,kitaalamu unaitwa scabies, Tumia dawa inaitwa BBE.
  4. M

    Msaada wakuu nachanganyikiwa, nimekuta Mijusi wakubwa geto

    Kwa chumba hicho hawa wadudu ndio mahali pao salama kabisa kuishi,chumba kama holi la mifugo.
  5. M

    Jumuiya za Kikristo toeni tamko la kupinga mdahalo unaolenga kudhalilisha ukristo

    @,!Nadhani hujaelewa lugha iliyo tumika,ni semina inayo endeshwa na Dr.wa philosophy ya imani ya kiislamu.
  6. M

    Pascal Mayalla apata ajali

    @Alihatarisha maisha yake mwenyewe,kwa chombo alicho tumia.
  7. M

    Alinisaliti nimebeba mimba ya mwanaume mwingine ananiambia niitoe ili anioe

    Unapo elekea utapigwa tukio na huyo bwana wako anaye kwambia utoe hiyo mimba, ambalo hutakuja kusahau maishani mwako,blad faken kabisa wewe.
  8. M

    Yamenifika shingoni sijui la kufanya mimi

    Huyo amaweza akuwa sio Biological father wako,muulize vizuri Mama yako.
  9. M

    Nimepewa Taarifa na washikaji zangu kijiweni kwamba kuna watu wananitafuta

    Tusubilie kuona mwisho wa huu mkwara wako.
  10. M

    Mjini Dar es salaam, sifa ya mwanaume ni kulewa wikendi na kutazama mchezo mikubwa

    Hii post imekaa ki wivu wivu sana sana juu yawatu wanao ishi mjini!
Back
Top Bottom