Sio kweli kuwa hawa wazee wameajiriwa. Hawana mshahara kwa majukumu yoyote ambayo wamepewa kuyasimamia. Tafsiri sahihi ya kuajiriwa na sharti ulipwe mshahara kwa majukumu ufanyayo. Hawa wazee hakuna wanacholipwa na teuzi zao kimsingi si za utendaji ni ceremonial
Wewe una akili mbovu sana. Utamwitaje Mzee wetu wa heshima Mwana CDM. Kwanza nina mashaka na unavyojiita mwana CCM utakuwa maamluki tu. Kumkejeli Rais mstaafu ni utaahira
Wana JF,
Muda umefika sasa tuwe na Baba wa Taifa. Na baba anayefaa kushika hii nafasi si Mwingine bali ni Mhe. saana Dr. JAKAYA MRISHO KIKWETE.
Ana Sifa na weledi wa kupewa hiyo nafasi. Tuanze sisi wengine wafuate
Nawasilisha
Mhe. Waziri Kangi Lugola yupo vizuri siku zote sio suala hili tu. Anatekeleza ilani ya chama chetu kwa vitendo. Ni vema watu waelewe CCM inatenda mema kwa wananchi jamani kuna mambo muwe mnakubali sio kila jamba kuona baya
Pia nimeshangaa! nadhani mleta hoja amepata taarifa hii toka upande ambao haututakii mema. Katika orodha hiyo vipi imekosekana Zimbabwe na Burundi? Angalau ningeziona hizo nisingehoji sana na kuishtukia hii taarifa.
Bila shaka mtu ukiwa na akili timamu jambo hili huwezi kuliunganisha na chama makini kama CCM. Huyu Kijana ni mpuuzi tu!
QUOTE="Twoten, post: 30745914, member: 224771"]Nasali kanunuliwa na ccm
Ujana na dharau nyingi sana. Sioni sababu ya msingi inayo shawishi kwanini alikuwa haendi bungeni. Pia kwanini wabunge wenzie walikuwa hawampi ushauri juu ya jambo hilo ambalo lipo wazi kikatiba na kanuni za bunge. Mambo mengine mta mulaumu sana spika au rais wa JMT kwa kuwaonea tu.
Ili kuonyesha uzalendo na upenzi kwa nchi yako basi ni vema gari hilo likakabidhiwa kwa serikali ili iwe kumbukumbu na mchango wa mbunge TAL.
Chadema onyesheni mfano kwa wananchi ili na wengine wafuate
Tunaweza tukaisema sana Serikali wakati huenda si kweli. Huyo Wakili inawezekana pia ni akili yake binafsi iliyopelekea akawasilisha maombi hayo Mahakamani bila kutumwa. Na si lazima Serikali ianze kukanusha ilimradi mahakama imeamua vema.
Tupunguze munkari jamani
Mhe. Umeandika vizuri hoja zako lakini naona kama zimeegemea upande mmoja. Sasa nikuulize maswali ili ujazie hoja zako ziweze kuiweka mizania ya hoja ulizotoa sawa.
Maswali;
Je! Wapinzani, hasa wewe na Mhe. Lissu kuisema kwenu serikali yetu nje ya nchi bila huruma hakuchangii kuporomosha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.