Recent content by mabadiliko4015

  1. M

    Wanawake ni watoto wenye umri mkubwa

    Kajifunze kwanza kuandika
  2. M

    Haya ni mapenzi?

    Best advice ever
  3. M

    Haya ni mapenzi?

    Habari za jumapili wadau, ni matumaini yangu mko poa nyote, to cut the long story short ni ivi, miaka miwili nyuma nilitokea kumpenda msichana mmoja mrembo sana, alikua ni msichana wa kisasa nikimaanisha alikua anapelekwa na matukio ya dunia kuparty sana, kunywa pombe,kuvaa mini skirts n.k...
  4. M

    Mjadala: Kwanini Halotel haitafanikiwa nchini Tanzania licha ya kuwekeza fedha nyingi?

    Una uhakika ni wa R1???maana SHELI zote unasikia ni R1.ukija mijengo mrefu ya R1..adi gas mnasema ni ya R1...uyo R1 hawezi miliki mali zote hizo
  5. M

    Naomba mrejesho kwa aliewahi kuagiza Alibaba

    Kuna hii website www.alibaba.com wana bidhaa nyingi kutoka China kuanzia electronics mpaka nguo. Nilikua nauliza kuna mtu yoyote alishafanya nao kazi? Yaani aliagiza bidhaa akiwa hapa TZ akaletewa? Nisije kutuma hela zangu bure ziliwe kwa sababu cyber crimes zimeshamiri now days... Nawasilisha
Back
Top Bottom