Zaidi sana mafundi wetu hawa nyundo mkononi ukipeleka gari make sure unasimamia
Bila hivyo
a. wataiba spea za maana
b. kazi watalipua! sana
c. hawagusi gari mpaka uwepo , ukiondoka anaanza mishmishe zingine
Muungano wetu Tanganyika na Zanzibar ni wa asili. Hasa wazanzibara. Hivyo ili kuweka sawa kule ni mikoa 5 tu na serikali moja kwisha. Vinginevyo tuwe na federation . Lakini hii ya chetu cha wote lakini chao ni chao karne hii naona giza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.