Recent content by maandamano

  1. M

    JamiiForums Tanzania Kwa majibu ya uislam: Rais Samia kukaa nje ya ofisi na kutokuoneka hadharani Kwa miezi minne na masiku 10

    Ndiyo maana Uisilamu umekataa mwanamke kupewa vyeo
  2. M

    JamiiForums Tanzania Wajua mchawi anaweza kumuuwa mtu ampendaye huku analia kuliko ambao hawajui marehemu kafa na nini?

    Haihusiana na yaliyotokea leo,bali kuna mtu najua katika familia fulani,wanampigia timing wamtoe kafara,sasa najalibu kumkingia kifua yasimkute bila yeye kujua, Angalizo usipende kwenu hasa katika kipindi cha mikutaniko maalumu mfano,alobaini,ndoa sikuku za kukutana pamoja zilizopangwa watu huwa...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Wajua mchawi anaweza kumuuwa mtu ampendaye huku analia kuliko ambao hawajui marehemu kafa na nini?

    Huu ni ukweli kabisa,kwanza siku zote kwenye chama cha kichawi hawatakagi kula nyama za mataira,yaani watu wenye matatizo ya akili,au mtu mwenye roho mbaya,wao humtaka mtu mwenye adabu heshima anayekubalika na jamii inayomzungu na mwenye uwezo wa kimaisha, Sasa pindi anapoambiwa mchawi amtoe...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Anayesumbuliwa na vidonda vya tumbo pamoja na uzazi kwa wanawake anitafute

    Basi nielekeze bwana ili niwafikie wateja kiulahisi kama unamjua mtu niko tayali kumpa offer ya bure
  5. M

    JamiiForums Tanzania Anayesumbuliwa na vidonda vya tumbo pamoja na uzazi kwa wanawake anitafute

    Unajua dunia ya leo ukiwaambia watu ukweli wanakuona tapeli au kichekesho nilikuwa kijijini hizo dawa zipo,nimeona nije nazo mjini niwasaidie wenye hayo matatizo wewe nitafute tu
  6. M

    JamiiForums Tanzania Anayesumbuliwa na vidonda vya tumbo pamoja na uzazi kwa wanawake anitafute

    Sina mengi ya kuongea njoo inbox
  7. M

    JamiiForums Tanzania Anayesumbuliwa na vidonda vya tumbo pamoja na mwanamke kutoshika mimba anitafute

    Mimi nakupa mitishamba unatumia ukipona unanipa gharama yangu,siyo mganga wa kubahatisha nilikuwa kijijini nimepona tatizo la vidonda vya tumbo,nimeona nije niwatibu na wenzangu
  8. M

    JamiiForums Tanzania Anayesumbuliwa na vidonda vya tumbo pamoja na mwanamke kutoshika mimba anitafute

    Jamni niko Dar nina dawa ya ukweli kwa wale wanaosumbuliwa na vidonda vya tumbo,ndani ya wiki utakuwa umepata jibu Na kwa wanawake ambao hawashiki ujauzito,mwenye uhitaji anafwate inbox
  9. M

    JamiiForums Tanzania FT: Mighty Wanderers 0-1 Simba SC | CAFCL-1st Leg | Wakali wa Kimataifa wafanya kweli | 06.09.2026

    Might Wanderes 2 Simba 0
  10. M

    JamiiForums Tanzania Maswali kuhusu hatma ya Humphrey Polepole

    Kila nafsi itaonja mauti hata kama uko kwenye ngome mathubuti kiasi gani
  11. M

    JamiiForums Tanzania Tuone Uwajibikaji Kwenye hii National Blackout

    Viongozi wako bize na chadema
  12. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta mke wa kumuoa

    Mtoto hawezi kumkimbia mama yake kwa changamoto ya aki bado yupo
  13. M

    JamiiForums Tanzania Kuna watu wamelipwa ili waandamane,na kuna watu wamelipwa ili wawapige waandamanaji

    Kweli bongo inakwenda mbio,hapa unaweza ukala kote kuwili
  14. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta mke wa kumuoa

    Nimepigwa repration nimeludishwa bongo,foi mandado imbora para Tanzania
Back
Top Bottom