Recent content by maandamano

  1. M

    JamiiForums Tanzania Maswali kuhusu hatma ya Humphrey Polepole

    Kila nafsi itaonja mauti hata kama uko kwenye ngome mathubuti kiasi gani
  2. M

    JamiiForums Tanzania Tuone Uwajibikaji Kwenye hii National Blackout

    Viongozi wako bize na chadema
  3. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta mke wa kumuoa

    Mtoto hawezi kumkimbia mama yake kwa changamoto ya aki bado yupo
  4. M

    JamiiForums Tanzania Kuna watu wamelipwa ili waandamane,na kuna watu wamelipwa ili wawapige waandamanaji

    Kweli bongo inakwenda mbio,hapa unaweza ukala kote kuwili
  5. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta mke wa kumuoa

    Nimepigwa repration nimeludishwa bongo,foi mandado imbora para Tanzania
  6. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta mke wa kumuoa

    kwa hiyo kama sina Pesa Tanzania sipati mke?
  7. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta mke wa kumuoa

    Junior mpaka sasa hivi mama yake hajamvua pampars ananuka mavi naogopa hata kumsogelea
  8. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta mke wa kumuoa

    Nimeshajikatia tamaa sikujua kupata mwanamke wa kuowa Tanzania ni vigumu hivi,kibaya zaidi hata madada poa hapa ninapoishi wanasura mbaya sijapata kuona ngoja nijiludie zangu huko kwenye vurugu nikakomae hivyohivyo
  9. M

    JamiiForums Tanzania Dkt. Mwigulu: Tumekamata mtu ameahidiwa dola milioni 1 endapo watu wengi watakufa - Kinachotafutwa ni rasilimali

    Nimeishiya kucheka tu,toka enzi za majambia mpaka leo hadithi huwa hazibadiliki
  10. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta mke wa kumuoa

    Naona anataka muandiko
  11. M

    JamiiForums Tanzania Waziri Katambi apiga marufuku mikutano ya siasa kwa vyama vyote

    Mbona mlishinda kwa asilimia 97
  12. M

    JamiiForums Tanzania Kujaa kwa mikutano ya Chadema tafsiri yake Mama hakubaliki au CCM imechokwa?

    Naona wameshapiga marufuku wakati walipigiwa kura na wananchi alimia 97,sasa wanaiogopa asilimia tatu?
  13. M

    JamiiForums Tanzania Kujaa kwa mikutano ya Chadema tafsiri yake Mama hakubaliki au CCM imechokwa?

    Toa maoni yako
  14. M

    JamiiForums Tanzania Bila Samia kuwa Rais, biashara nyingi zingekuwa zimekufa na Wafanyabiashara wengi wangekuwa wamehamishia biashara zao nje ya nchi kulinda mitaji

    Nini tafsiri ya mikutano ya Chadema watu kuwa wengi bila kusombwa na malori yaani mama hakubaliki au vipi?
  15. M

    JamiiForums Tanzania Msafara wa CHADEMA ukiwa Kasi kuwahi mikutano ya Chama Kanda ya Nyasa

    Siku nikikuona na kupiga risasi ya kichwa
Back
Top Bottom