Recent content by maandamano

  1. M

    Kuhusu nafasi ya urais wa Tanzania 2030-2040 tayari CCM tunae kiongozi

    Ni mbabe wa CCM Pauli Christiani makonda kwani ndiye chaguo la mama
  2. M

    Tegemea huu mwaka kuvunja rekodi ya vifo vya wabunge na mawaziri wa CCM wanaweza fika mpaka 30

    Yaani ngoma kuanzia mwezi ujao ndiyo itaanza kuchanganya
  3. M

    Tegemea huu mwaka kuvunja rekodi ya vifo vya wabunge na mawaziri wa CCM wanaweza fika mpaka 30

    Mimi siyo mtabili ila ukweli mtauona hasa tunapoikalibia 2030, kama wewe waziri au mbunge anza kujichimbia kaburi kabisa
  4. M

    Makonda aonya Wanasiasa wanaolenga Urais 2030, aahidi kuwashughulikia wanaomsaliti Rais Samia

    Alikuwa anamsema Mwiguru kutokana na kuiga stairi yake ya kusikiliza matatizo ya wananchi inakuwa kama wanamuharibia mama
  5. M

    Ufanyike uchunguzi wa kina na wa sirisiri kwa viongozi wanaokufa ghafla

    Wacha wafe mbwa hao na watakufa sana mpaka kufika 2030 watakuwa wamejipukutisha atabaki Lissu waliyempiga risasi na kuandaa ratiba ya mazishi yake,leo kiko wapi?
  6. M

    Je huu ndiyo mwisho wa ubabe wa Marekani na kufutwa Mashariki ya kati?

    Kwa jinsi Irani anawatesa Wamerekani na Swahiba wao Muisilaer naona wenda ndiyo ikawa mwisho wa ubabe wa Marekani,maana vita ianendeshwa kama kete kwenye draft tunamuona kila siku trump akilialia huku Irani wakifaidika na Vita
  7. M

    Kwa mara ya kwanza natofautiana na Mange Kimambi juu ya msimamo wa Iran

    Wapi Mtume alipojiita yeye Mungu,Au Yesu alipojiita yeye Mungu?
  8. M

    Kwa mara ya kwanza natofautiana na Mange Kimambi juu ya msimamo wa Iran

    Hivi kuna dini iliyochinja watu wengi kwa kulazimisha waiamini dini yao kama Romani?
  9. M

    Kwa mara ya kwanza natofautiana na Mange Kimambi juu ya msimamo wa Iran

    mnavyojua kutaja namba za wenzenu,na Israeli wamekufa wangapi toka mashambulizi ya Irani yaanze?
  10. M

    Kwa mara ya kwanza natofautiana na Mange Kimambi juu ya msimamo wa Iran

    Tatizo hamjui nini maana ya Uisilamu mnaochukulia juju tu ukitaka usome uelewe hauko kama dini zingine Mtume Muhammad (S.A.W)alipopewa utume kazi yake ilikuwa kupingana na washirikina,yaani wale waliokuwa wanaabudu masanamu kwenye nyumba ya Mungu alkaba waliokuwa wanafata mira za ujahili kuzika...
  11. M

    Kwa mara ya kwanza natofautiana na Mange Kimambi juu ya msimamo wa Iran

    Ukimwambia mtu kwamba mavazi ya kiisilamu anafikiri labda ni kanzu na baibui,hapana tumefundishwa na Mwenyezi Mungu kupitia mtume wake mwanaume avae nguo itakayofunika kuanzia chini ya magoti yake mpaka juu ya kitovu chake,na mwanamke afunike kichwa nguo isimbane ikachora mwili wake na iichie...
  12. M

    Kwa mara ya kwanza natofautiana na Mange Kimambi juu ya msimamo wa Iran

    Mungu alikuwa ameumba Ulimwengu usiokuwa na mabaya hapo mwanzo lakini kwa tamaa ya mwanadamu akadanganywa na shetani
  13. M

    Kwa mara ya kwanza natofautiana na Mange Kimambi juu ya msimamo wa Iran

    Mtu wa kalibu kabisa wa Mtume alikuwa na Ali bin twalibu,mtu anapopewa utume yeye alikuwa na miaka 10 alizaliwa ndani ya Alkaba hakuabudu masanamu na ndiye mtu aliyekuwa na elimu ya Dini kuliko wote,na hata Mtume mwenyewe alidiriki kusema kama utume ungekuwa unaendelea basi yeye angekuwa sawa na...
  14. M

    Kwa mara ya kwanza natofautiana na Mange Kimambi juu ya msimamo wa Iran

    Unajua watu wengi wanazani sheria ya Dini ya Kiisilamu zimetungwa na mwanadamu,siyo kweli hizo sheria kazitunga Mwenyezi Mungu,siyo tu sheria bali utaratibu mzima wa Dini ya Kiisilamu kuanzia Kuswali,kula,kunywa,vyakula,kuvaa,kutembea,kulala,kujamiana,ndoa,kifo,kuongea,elimu,mkiwa vitani,na vitu...
Back
Top Bottom