Unajua watu wengi wanazani sheria ya Dini ya Kiisilamu zimetungwa na mwanadamu,siyo kweli hizo sheria kazitunga Mwenyezi Mungu,siyo tu sheria bali utaratibu mzima wa Dini ya Kiisilamu kuanzia Kuswali,kula,kunywa,vyakula,kuvaa,kutembea,kulala,kujamiana,ndoa,kifo,kuongea,elimu,mkiwa vitani,na vitu...