Recent content by Maalim skido

  1. M

    Mkutano wa Mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA, Edward Lowassa kutoka Songea

    Vijimambo 2. Ukisema kamuatack means katuattack wanaharakati. Sasa 2walipue vibaya 25 october
  2. M

    Askari magereza na polisi kunan?

    Kwanini askari magereza na polisi wanafanya kazi katika mazingira magumu?. Kwanin wasiongezewe mishahara na posho? Kwanni posho ambayo serikal ilipanga kuwapa hawapewi? Sasa kwanin kusiwe na mabadiriko? Kwanin wasipige kura kuleta mabadiliko?
  3. M

    Wiki ya kwanza ya mwezi Septemba, UKAWA watapatwa na mtikisiko Mkubwa sana ambao haujawahi kutokea

    Me nashangazwa na ubinafsi wa watanzania waliopo madarakan. Kwa mfano liangalie suala la uboreshaji wa huduma kwa askar magereza na polisi ambao wanafanya kaz katika mazingira magumu, leo uniambie nin, nataka mabadiliko
  4. M

    Neno Oppa lina maana gani?

    Brother/ kaka
  5. M

    Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

    Kwa planner mim kwanza naselect idea ya kujenga choo, nipate super profit niitumie kuinvest kwingne. Gud idea for short term project/business
  6. M

    Kilimo cha zao la Ufuta: Masoko, Mbinu na Ushauri Toka kwa Wadau

    Kwahyo kulima ufuta unatakiwa uwe risk taker
Back
Top Bottom