ITV is the best tv station in TZ so far. AZAM nilinunua hadi decoder yao na nawapongeza kwa quality nzuri lakini ITV ni beyond explanation, coverage, courage, speed a hakuna anayewakaribia
upo sahihi, mfano dsm ukiguza jimbo moja ni kati ya w2 laki 6 mpaka 7
watu wasikate tamaa hii ni psychological stratergy. Imani ni hakika ya mambo yasioonekana na bayana ya mambo yatarakiwayo 'mtu akiweza kukuondolea imani kuwa unashindwa tayari unaweza kushindwa hata kama mwishowe amekuibia'...
Jamani Hotuba ya jana Ya Mh E. Lowasaa ITV nimeirudia kwa utulivu na nashauri watanzania wote bila kujali vyama tumuunge mkono EL na UKAWA kwa kweli hili ni jibu kwa mahitaji yetu kwa sasa. Hata jagwani haitaji kusema mengi tumeshamwelewa na tunamwombea apite kwa asilimia kubwa...
Miaka kama 70-80 ijayo sisi tuliopo leo including Jaji Lubuva , wakurugenzi wa Tume na hata wagombea wetu hatutakuwepo Tz ila watoto na wajukuu wetu watakuwepo maana yake Tz itaendelea kuwepo hivyo maamuzi yetu ya leo ndiyo furaha ya mama Tz kesho. Nafasi aliyonayo jaji Damian Lubuva ni...
Miaka kama 70-80 ijayo sisi tuliopo leo including Jaji Lubuva , wakurugenzi wa Tume na hata wagombea wetu hatutakuwepo Tz ila watoto na wajukuu wetu watakuwepo maana yake Tz itaendelea kuwepo hivyo maamuzi yetu ya leo ndiyo furaha ya mama Tz kesho. Nafasi aliyonayo jaji Damian Lubuva ni...
Waweke tafiti online na mwatangazie watu watoe maoni kama wanavyofanta Marekani hizi nyingine ni za kisiasa na wala hazitawa influence wapiga kura kwa vyovyote.
Wamenunuliwa akina Slaa na Lipumba sembuse Synovate na Redet na Twaweza wasaka tonge???? This time around ni # MABADILIKO#
Mungu...
Watu wanahangaika kupambana ni mabadiliko, mambo mengine yanasababishwa na supernatural power, kaulize Farao alikutwa na nini alipojaribu kuwazuia Waisrael kuondoka Misri...sasa yaliyowapata ni kufunikwa na maji ya bahari ya sham! Haya Ndiyo yatakayowapata ccm 25.10.15, lets wait
MAMBO 5 YANAYONIPA AMANI YA KUWAWAPA DHAMANA UKAWA FOR 2015-2020
i. Elimu
ii. Katiba mpya
iii. Usimamizi wa utawala wa sheria na uwajibikaji
iv. Ulinzi wa rasilimali hasa gesi na mafuta
v. Chachu ya vijana/ushirikishaji wa vijana
vi. Dhana ya mabadiliko/changes:
A. Elimu, Elimu, Elimu...
Unfortunately voters have decided, labda mnatafuta kura za Slaa, Mushumusi na Lipumba hii tuna uhakika mpaipata, otherwise don't bother we've made up our minds. EL is our Hero...
Kwa kweli Slaa ananihuzunisha sana, kapungukiwa na hekima, kavaliwa na pepo mchafu hasikii maonyo it's devastating.
Namshukuru Mungu hakuwa mgombea urais hivi si angetuaibisha? Kiongozi gani asiyejua kuwa maneno huleta vita, anathubutu kuwachonganisha wamaasai na wambulu mpakani? Anawasema...
anaongea machache kwa authority sana hana blaaa blaa...huyu jamaa ni solid presidential material hamwogopi mtu....i can imagine hata mawaziri watapewa rev4 au grand vitara.
Kweli nimehakikisha siyo tu maamuzi magumu ila ni ya hekima, busara na ufahamu.
"namalizia kwa kusema kiwa a true...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.