Angela Chibalonza dunia ingekuwa yangu ningempa nusu yake. Nampenda Sana.
Dr.Sarah K yeye naipenda album yake ya kwanza.
Rose Muhando napenda nyimbo zake za kuabudu na kuhuzunisha tu.
KWANINI WAZANZIBAR WANATUONGOZA KWENYE NCHI YETU LAKINI WAO WANAJUINGOZA WENYEWE? KWANINI MARA NYINGI WANEKUWA WAKITULETEA DHARAU WAKATI HUKU TUNAISHI NAI KIROHO SAFI? KITU GANI KIMEJIFICHA HAPO?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.