Swali langu ni moja. Ivi kama mtu anaweka maudhui tu ya elimu ya science kwa mfano udaktari kwenye page ya Instagram, yeye hii page haimuingizii ata shillingi moja, anatakiwa kulipia hizo leseni? Na kama analipa, inakuaje mtu analipa leseni na wakati hii kitu haikuingizii faida yoyote ya kifedha?
Tungejua alichokipost jamaa ili watu wengine wajifunze kitu gani hakiruusiwi kufanya. Kwasababu watu wengi wanamiliki page katika mitandao mbali mbali ambao wanapost mambo kuhusu Tanzania kama vile misitu, milima, habari za maendeleo, n.k. Je maudhui yapi hayatakiwi?? Na huyo mwanafunzi alipost...
its december 2018 tunakaribia kuingia 2019 na hii interview still ni relevant...kwakweli interview of the century itakuj kutumika na vizazi vinavyokuja.. Congrats kwa kutoa mada u did a great job brother. Interview ina lessons nyingi sana adi proof kuwa haters wa maendeleo binafsi ya mtu wapo...
bro umeongea point!!. Mtu kama anasema anaingiaza thousands dollars na amefanikiwa kupitia platform flani afu still kutoa ujuzi kuhusu hiyo platform anataka kuingiza hela ndefu nakuwa simuelewagi. Hawa hapa bongo wapo wengi. Hizi introduction za hizi platform tunazijua kupitiabtu google kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.