Recent content by M4C DAIMA

  1. M

    Mwigulu achafua hewa bungeni na kuzua miguno

    mwigulu -------- hana uwezo wakufikria, mm nina wasiwasi hata kiwango cha elimu yake anaelimu gan mlopokaji huyo?
  2. M

    Kujitolea kufundisha biology na chemistry

    nimenda shule ya kata kujitolea kufundsha, mkuu anasema hata hela ya nauli tu shule haiwz kunpa,inakatsha tama san wadau
  3. M

    Nahitaji shule ya kuwasaidia kufundisha hesabu bure kabisa

    wadau mm nlitaka kujitolea nifundshe biology na chemistry, mkuu anasema hata ya nauli 2 hawezi kunisaidia inakatsha tama
  4. M

    Biology and chemistry teacher is available

    hapana mkuu jina sio tatizo wakati wa kazi ni kazi na harakati baadaye sana, nikutoe hofu mkuu
  5. M

    Msaada kuhusu Bsc.Ed(Bachelor of science with Education)...please!!

    kasome mkuu mm nimesoma Bsc.with ed biology and chemistry kozi ngumu acha CM inaenda vizur
  6. M

    Biology and chemistry teacher is available

    nimehitim chuo kikuu kwa sasa npo dar hatakama ni mkoan npo tayari ila lazima tukubaliane kwanza:contact 0682883703
  7. M

    Mwalimu wa PCB anatafutwa haraka.

    mkuu hyo hela ni kwa mwal wa ngazi gan! labda ngazi ya certificate, je kwa ngaz ya degree utatoa sh ngap na drs gan?
  8. M

    Vyuo 17 bora Tanzania, Je chuo chako kipo?

    chezea UDSM wewe acha vingne vyote vyuo vikuu fuasi
  9. M

    Natafuta shule ya kujitolea kufundisha Biology na Chemistry

    shule iwe ya private or govrnment
  10. M

    Natafuta shule ya kujitolea kufundisha Biology na Chemistry

    Level of education degree from UDSM contact with me 0757016611 kwa sasa npo Dar-G/MBOTO
  11. M

    POLISI:-Nafasi za kazi kwa wahitimu wa vyuo

    acha hizo wa2 2nasublia kuitwa kwnye usahili ww unaleta 4m!
  12. M

    Natafuta kubebwa UDSM

    kaka unakumbusha mbali kuhusu kubebana jpe moyo mm nmemaliza mwaka huu lkn life la udsm noma jaman 1st wasaidie contuns
  13. M

    Kujitolea kufundisha sec Biology and Chemistry

    mhitimu kutoka UDSM(Bsc.with ed) kwa sasa npo Dar natakakujitolea kufundsha masomo hayo 2wasiliane 0757016611
  14. M

    Teacher for Biology and Chemistry a graduate from UDSM

    Nipo tayari kumfundsha 2kikubaliana condtion for teaching process 2wasiliane thrgh my 4ne no above
Back
Top Bottom