Recent content by M2pc

  1. M2pc

    Usahili wa kadco

    Ehh ndio
  2. M2pc

    Usahili wa kadco

    Kuna walioitwa kazini trh 23 January lkn trh 8 January walikuwa wanetangaza tena nyingine ambapo mwisho wa kuaply ilikuwa trh 30
  3. M2pc

    Usahili wa kadco

    Wale tunaosubria usahili wa Kilimanjaro airports development company (KADCO) tupeane updates hapa
  4. M2pc

    Jinsi ya kutumia ajira portal msaada unaitajika

    Jamani mm nilijaza Kila kitu nikaatachi viambatanisho vinavyotakiwa lkn iliishia kusoma 57% nikatuma hivo hivo lkn kwenye preview CV haikubali maana sijakamilisha 70+% ila email walinitumia kuwa maombi yamepokelewa
  5. M2pc

    Nafasi za Kazi Gardaworld Security Tanzania

    Mkuu nawapataje mm Niko interested naomba mawasiliano yenu
  6. M2pc

    Wahitimu wengi wa UDSM mna dharau na kujisikia sana lakini mna Maisha magumu

    Story nying za kisomi saikolojia na falsafa kubwa sana mwisho wa siku hewa tu mtoa post yuko vzr huo ndio ukweli Sent using Jamii Forums mobile app
  7. M2pc

    Wahitimu wengi wa UDSM mna dharau na kujisikia sana lakini mna Maisha magumu

    Mkuu pm yangu inashida sioni text yoyote inaonekana empty kama hutojali naomba unicheck 0767320155 nahitaji msaada wako Tafadhali kwenye mambo kadhaa Sent using Jamii Forums mobile app
  8. M2pc

    Nahitaji watu 99 wenye uwezo wa kuweka laki moja kwa mwezi

    Wazo zuri sana Sent using Jamii Forums mobile app
  9. M2pc

    Wahitimu wengi wa UDSM mna dharau na kujisikia sana lakini mna Maisha magumu

    Wengi wa wasomi wetu hawajielewi kabisa kwani hamuwaoni ma prof na ma Dr wenu vyuoni huko Sent using Jamii Forums mobile app
  10. M2pc

    Wahitimu wengi wa UDSM mna dharau na kujisikia sana lakini mna Maisha magumu

    Kaka umeongea ukweli mtupu usomi wa bongo ni pasua kichwa unakuta mtu katumia miaka 17 anaitafuta elimu then baada ya kumaliza anarudi nyumbani kugombania ugali na wadogo zake. Nakuomba pm tujadil mambo muhimu tuachane na hawa wasomi uchwara Sent using Jamii Forums mobile app
  11. M2pc

    Wahitimu wengi wa UDSM mna dharau na kujisikia sana lakini mna Maisha magumu

    Kelele za mlangoni hiz baada ya doz kuingia sawasawa Sent using Jamii Forums mobile app
  12. M2pc

    Kama unampenda mwandishi wa 'RICH DAD POOR DAD' karibu kwenye mjadala wa vitabu vyake

    Finding Your Path This CASHFLOW Quadrant book is important because it is about finding your path in life. As you know, most people are programmed early in life to “Go to school and get a job.” *School is about finding a* *job in the E or S quadrant. It is not about finding your life’s path*...
  13. M2pc

    Wajuzi kwenye biashara ya mazao

    Hii biashara ni nzuri ukiingia mwenyewe ni juu yako kuchagua kimojawapo biashara au kaz
  14. M2pc

    Wajuzi kwenye biashara ya mazao

    Andaa mtaji wako kadri uwezavyo zama mtwara msimu ni mwez wa tisa mpaka wa kwanza mwanzoni. Utanunua kwa wa kulima kwa bei kati ya 1500-2200 per kg na utauza ghalani kwa njia ya mnada kati ya 3600-4000 kulingana na soko likoje. Hili ni kwa zao la korosho. Maeneo zinako patikana kwa wingi ni...
Back
Top Bottom