Recent content by M2mwembamba

  1. M2mwembamba

    JamiiForums Tanzania Kishindo cha vikwazo kesho, Nchimbi na Kombo wapo Marekani, Samia yupo Dubai

    Wakikaza nitafurahi sana
  2. M2mwembamba

    JamiiForums Tanzania Aliponiambia yeye na mimi basi. Nikamwambia sawa haina shida. Nlichomfanya hatonisahau kamwe

    Ila we jamaa una roho ya kikatili😂😂
  3. M2mwembamba

    JamiiForums Tanzania Davido avaa koti lenye majina ya waliotekwa Nigeria akitumbuiza tamasha la FIFA

    Huku bongo ukifanya hizo Mambo ukirudi utaambiwa ni uchochezi mara umepotezwa
  4. M2mwembamba

    JamiiForums Tanzania Konyagi Feki zaivuruga TBL, yapunguza uzalishaji

    Kabla hawajafungia viroba ilikuwepo kiroba Cha konyagi kinauzwa buku so warudi kwenye vifungashio vyenye kwendana na watumiaji wa hari ya chini
  5. M2mwembamba

    JamiiForums Tanzania Nani anamlinda Gekul? DPP asema hana mpango wa kuendelea na kesi

    Hapo pesa inaongea
  6. M2mwembamba

    JamiiForums Tanzania Dawa za Kulevya: Serikali yawatia Mbaroni Mapapa 7 wa Unga

    Lyimo kipindi Yuko KAHAMA alifanya kazi nzuri,kwa sasa ndo watumiaji wanazidi kuongezeka tunatamani angezidi kufanya kazi huku
  7. M2mwembamba

    JamiiForums Tanzania Kabla ya kunyonya sehemu za siri za mpenzi wako jiulize maswali haya

    Mimi nimeanza kunyonya hizo k nikiwa kijana hasa kwa yule nimpendaye sana ila awe msafi. Sijaugua ugonjwa wowote pia Mimi sina kinyaa[emoji85]
  8. M2mwembamba

    JamiiForums Tanzania Moise Katumbi ataka uchaguzi ufutwe. Viongozi wa Upinzani wapanga kufanya maandamano

    Siasa za afrika ni ngumu sana mpinzani kukalia kiti maana figisu ni nyingi kutoka kwa chama tawala
  9. M2mwembamba

    JamiiForums Tanzania Dhana Potofu ya kuongeza Maumbile

    Tusimkosoe mungu
  10. M2mwembamba

    JamiiForums Tanzania Sebuleni kunakaa TV na makochi pekee hivyo vingine vyote ni uchafu

    Maisha hayafanani kati ya mtu na mtu. Ni utofauti wa kipato
  11. M2mwembamba

    JamiiForums Tanzania Sababu ya Dhakari (em bi o o) kuongezeka urefu na unene

    Niulize swali upande wa pesa uko vizuri?
  12. M2mwembamba

    JamiiForums Tanzania Babu wa miaka 110 amuua mke wake kwa kisa cha kumnyima unyumba

    Nimejikuta nacheka kama mazuri[emoji23] Sasa hiyo mzee Bado inasimama kwelii[emoji23]
Back
Top Bottom