Kwa hiyo sasa allah ndo kajipanga sio?Alikuwa hakujipanga?Au hakujua kama vitaharibiwa,baada ya kuharibiwa ndo kashtuka,kwo kajipanga sasa,sio?Huoni unadhihirisha udhaifu mkubwa wa allah?Kwa sifa hizi ni wazi huyo sio MUNGU.Hakika nakuambia
Maswali kama haya ndiyo yanapima ukweli wa Quran.Hakuna muislam atakayekujibu hapa.Wataleta hoja tofauti tofauti ili wakuchanganye uhame kwenye msingi wa swali lako.Na hii ndiyo iliyofanya waislamu wampe uprofesa mazinge.Mzee wa kuhamisha magoli
Anayepotosha ni yule aliyekaa na Yesu,au yule aliyekuja nyumba tena wa taifa lingine kabisa kusema mwenye historia yake kaipotosha!Muwe mnafikiri kimantiki.Ukweli ni huu;mungu wa Quran ni tofauti na MUNGU wa biblia.Nyie hamlitaki hilo Kwa kuwa mkikubaliana na hilo basi uislam umekufa.Yesu ni...
Mtu hadi kaingia ndani ndani kabisa ya chama(mwenyekiti bavicha),Yaani kaaminika na chama cha upinzani kama chadema,halafu unasema ni kilaza,kilaza aliwezaje kupita hadi kuchukua nafasi ya juu ndani ya chadema!
Uko Dunia gan mzee!Hadi tunavyoongea jeshi la USA Bado lipo ndani ya Venezuela.Trump kasema halitaondoka,linafuatilia kuona utawala mpya kama utaingilia maslahi yake
Mtibeli yuko sawa.Ila ww unaleta siasa.Nikupe mfano mdogo sana.Ulishawahi kujenga nyumba?Kama bado,ukitaka kujenga mtafute fundi akupigie mahesabu,then mkabidhi Kila kitu,halafu usimsimanie.Uone kama hajafungua duka la cement huku nyumba yako ikibaki na ratio ya chini kiasi kwamba akipanda mjusi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.