Recent content by m2kutu

  1. m2kutu

    Kuna kitu Rais Magufuli anajaribu kutufundisha lakini hatumuelewi

    Namshukuru Raisi kutuepusha na "Rockdown". Sent using Jamii Forums mobile app
  2. m2kutu

    Kufuatia kauli ya WHO na maono ya Rais Magufuli kuhusu kuizoea Corona naomba shule na vyuo vifunguliwe

    Mi Naomba wafungue Ligi kuu hata bila mashabiki. Nianze kupata Furaha. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. m2kutu

    Nafasi za kazi Tanroads

    Hapo kwenye weighbridge shift incharge nadhani utakuwa umekosea kigezo cha umri Kwa uzoefu wangu mara nyingi huwa ni kuanzia umri wa miaka 35. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. m2kutu

    Mechi ya Tanzania vs Kenya kufuzu CHAN itaonyeshwa kupitia chaneli gan?

    Wakuu natumai wote mu wazima wa afya na weekend iko poa kwenu. Nia ya kuandika huu uzi kuomba kujuzwa iwapo mechi kati ya Tanzania na Kenya itarushwa kupitia chaneli gani maana ningependa kuifatilia na nipo mbali kidogo na mji. Natanguliza shukrani zangu kwenu.
  5. m2kutu

    Mechi ya Tanzania vs Kenya kufuzu CHAN itaonyeshwa kupitia chaneli gan?

    Wakuu natumai wote mu wazima wa afya na weekend iko poa kwenu. Nia ya kuandika huu uzi kuomba kujuzwa iwapo mechi kati ya Tanzania na Kenya itarushwa kupitia chaneli gani maana ningependa kuifatilia na nipo mbali kidogo na mji. Natanguliza shukrani zangu kwenu.
  6. m2kutu

    Stars VS zimbabwe

    Poa nashukuru kwa kunijuza.
  7. m2kutu

    Stars VS zimbabwe

    Mechi itakuwa live channel gan?
  8. m2kutu

    Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

    Wakuu naomba mnielekeze chimbo ambalo naweza kupata karatasi aina zifuatazo :- 1.News print. 2.News print za rangi. 3.Non Carbon paper (NCR). Natanguliza shukurani.
  9. m2kutu

    Only for single ladies...

    Nashukuru Mkuu. Mchana mwema
  10. m2kutu

    Only for single ladies...

    Sawa mkuu mchana mwema. Ni heshima sana kupata mawazo yako Mr Miller. We ni mmoja kati ya members famous sana humu. I salute you..
  11. m2kutu

    Only for single ladies...

    Ni kweli mkuu ndo maana hata hapo mwanzo nilisema "nimejiona fala". Hiyo ilikuwa 2014, naamini tukukutana kwa sasa twaweza kubadilishana mawili matatu ya kimaendeleo. Ubarikiwe sana.
  12. m2kutu

    Only for single ladies...

    Ndo maana nimetulia kwa sasa, nimeacha mambo yaende kama yalivo
  13. m2kutu

    Only for single ladies...

    Hahaha Hongera sana mkuu.. Mungu amlinde, na amuongoze afanikishe ndoto zake siku moja. We ni moja ya wadada ninaowaheshimu sana humu Jf.
  14. m2kutu

    Only for single ladies...

    Hapan kwa sasa nimetulia kwanza, ngoja nipumzike kidogo
  15. m2kutu

    Only for single ladies...

    Hapana dada, wote walinichunia. Nilipata mtaan, ila alinipa funzo ambalo sitosahau
Back
Top Bottom