Hili nalo lilikua picha lilioongozwa na sterling mtoto wa mjini kweli. Nalikumbuka hili bongo movie lililopata tuzo bora wallah. Hii ndio Tanzania jamani acheni tu!!
Huyo nae anaeleta ushahidi hajitambui naona, watu washafanyia kazi na kugundua hawakufuata taratibu yeye anatuletea habari zake za kibwege hapa. Kwani ofisi za editing hapo bilicanas zimefungwa?
Hakuna mwanaharakati wala mzalendo sasa hivi, ni very high pretending ambayo sijawahi kuiona wallah vile. Maana uwa nawaza deep kweli nakuona kabisa bado tunapigwa kweli kweli!! Haya Mungu mwema!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.