Diamond anapeleka music industry level nyingi...hii video ni bora ajabu na sijachoka kuiangali though nimeangalia zaidi ya mara tano,30 thou USD kwa this video naamini kabisa...hiyo wololoo itaimbwa sana mtaani....namuombea MUNGU afanye vizur zaidi...no 1 z real a no 1 song....classic
Mimi mwenyewe ni graduate wa udsm tena udbs lakin sijaona cha msingi saana kwa mdau aliyeweka hiyoo thread labda angeipost kwa namna ya kuuonyesha mfano umma ni kwa jinsi gani chuo kikuu dsm kinawasaidia wanafunzi wake katika kuingia katika soko la ajira za kuajiriwa na kujiajiri kwa kuwa na...
Ni mambo yasiyo na msingi wowote kwa sasa,nchi imekosa maadili na kila kitu kimejaa siasa zisizo na msingi.na ni swala rahisi tu,mara nyingi baba wa nyumba alivyo ndiyo atatoa hata taswira ya familia yake ilivyo.nchi haina usimamizi madhubuti kuanzia ngazi ya juu kabisa na sasa sumu hiyo ya...
Hii ni shule ya mabruda wa kikatoliki ila haichagui dini katika kutoa elimu,tena imekuwa msaada kwa jamii kubwa ya watu wa arusha na hata nje ya mkoa.
Ila imekumbwa na matukio mbalimbali yenye utata kwa siku za karibuni,nadhani ni wakati wa serikali na uongozi wa shule hiyo kuchukua hatua za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.