Recent content by M Priska

  1. M

    Urgent - Natafuta kiwanja Dar

    Hello all, Natafuta kiwanja Dar es Salaam. Malengo yangu ni kujenga nyumba ya vyumba sita vya kukaribisha wageni wa mda mfupi (ex : Airbnb…) Wapi Dar es Salaam naweza pata kiwanja kizuri kwa bei nafuu for my project? Natanguliza shukran wakuu.
  2. M

    Biashara ni ubunifu. Mafundi wa kazi kama hii wanapatikana Dar es salaam?

    Hii ni mobile ice-cream shop. Kule nyuma, mzee kaweka friji yake tu. Anatembea mitaani anauza. Na yeye ndio dereva, hakuna abiria.
  3. M

    Biashara ni ubunifu. Mafundi wa kazi kama hii wanapatikana Dar es salaam?

    Shukran sana kaka !! Kama kunajinsi yeyote mtu ataweza ni link nae au fundi yeyote mzoefu anaeweza ku design bajaji iwe hivi, itakua poa sana.
  4. M

    Biashara ni ubunifu. Mafundi wa kazi kama hii wanapatikana Dar es salaam?

    Habari zenu ndugu zangu. NATAFUTA FUNDI ! Nimepata bahati ya kusafiri Asia na nikakutana na ubunifu huu (picha hapo chini). Wenzetu bajaji zao sio za kusafirishia abiria tu, ila wana zi design kitofauti na kufanya nazo biashara zingine. Mtu anachukua bajaji ya kawaida, anaondoa siti za nyuma...
  5. M

    I wish kufungua duka la Paramedical and childcare equipment. Jee soko lipo Tanzania?

    Habari zenu wakuu, I wish kufungua duka la Paramedical and childcare equipment. Jee soko lipo Tanzania? Naoembeni maoni yenu kuhusu biashara hii?
  6. M

    Ushauri kuhusu ujenzi

    Uko sawa kabisa mkuu.. Na kwa mtu ambae nina safiri sana nje, tiyari nina idea ya nyumba niitakayo hivyo lazima mtaalam ahusike ili kupata kitu bora.
  7. M

    Ushauri kuhusu ujenzi

    Kabisa yaani!
  8. M

    Ushauri kuhusu ujenzi

    Shukran sana, nitalifanyia kazi hilo la jirani. Maana nina kama kamlima kidoogo..
  9. M

    Ushauri kuhusu ujenzi

    Shukran sana, na save namba yako, nitakutafuta.
  10. M

    Ushauri kuhusu ujenzi

    Aisee pole sana.. hicho kibali lazma nikitafute kabla ya yote.
  11. M

    Ushauri kuhusu ujenzi

    Si mbaya, ila mikopo naiogopa hatari !! Hii laki 4 ni kwasababu ya hali ya Dunia kwa sasa ya Covid19. Mambo ya kikaa sawa, nitaweka zaidi ya hizo.
  12. M

    Ushauri kuhusu ujenzi

    Sawa mkuu, na tayari kimesha pimwa na hati ninayo. Ila bado sina kibali cha ujenzi.
  13. M

    Ushauri kuhusu ujenzi

    Sawa sawa
  14. M

    Ushauri kuhusu ujenzi

    Habari zenu ndungu zangu, Ninauwezo wa kuweka akiba ya Laki 4 kila mwezi. Nina kiwanja changu cha m 27 kwa 20 pale Mbezi ya Kimara. Maswali yangu ni yafuatayo : 1) Je, naweza kujenga nyumba ya vyumba 4 hapo? 2) Nianzie wapi katika project ya ujenzi wangu? Ninunue kwanza matofali? Shukran kwa...
  15. M

    Ushauri wa biashara

    Asante sana. Nitalifanyia kazi.
Back
Top Bottom