Calling spade a spade, even if the truth is unpleasant and uncomfortable we're obliged to speak exactly the deserved words without sugarcoating, using euphemism or beating around the bush.
Mzee Chande ni muhuni kwa kuwa amefanya mambo ya kihuni, ingekuwa anajiheshimu, anayethamini utu, machungu...
Jakaya hakuwa commander in chief wakati wa massacre so whatever transpired behind the scenes isn't of our concern bali ni kwamba amri ya shoot to kill imetoka kwa rais na si mtu mwingine yoyote otherwise ajitokeze hadhari atuhakikishie kuwa yeye ni kiazi na alipokea maagizo ya kufanya massacre...
Hili swali very critical ndiyo Samia na Chande hawatamani/hawakutamani kabisa liwepo vinywani mwa Watanzania/Watanganyika.
Ndiyo swali muhimu kuliko kitu kingine chochote katika yalitokea 29th-Oct-2025 mpaka 31st-Oct-2025.
Uhai wa binadamu ndiyo number one priority sasa kama kama raia waliuawa...
Bingo, mtu anafanya kazi na analipwa lakini eti asifiwe na apambwe kwa kufanya kazi ambazo sadly hazifanyi kwa uadilifu, uaminifu wala hazifanyi kwa ukamilifu.
Yesu alipingwa na utawala King Herod Antipas, hapa Samia ndiye mtawala(ndiyo TZ modern era 'King Herod Antipas).
NB: Samia hapingwi na utawala kwani yeye ndiye mtawala, anapingwa na common citizens.
Ukiona mtu anapingwa sana ujue mabaya yake vs mazuri yake tofauti ni kubwa mno, yaani mabaya ni mengi na hayo mabaya ni unbearable.
Kumsifimia mtu mwenye mabaya yaliyokithiri labda uwe beneficiary wa udhalimu wake au uwe chawa.
Mwizi, muuza rasilimali za nchi, Abdul ni mshiriki wa biashara za madawa ya kulevya, Abdul anaingiza silaha TZ hazieleweki zinafanya kazi gani, Samia anaua Watanganyika(massacre) kwa halaiki na maiti wanazipeleka wanapojua wao na uhuni mwigine mwingi tu haramu wanaoifanyia nchi ndiyo uwatetee...
Common sense is not common anymore.
Swali lingekuwa na ambiguity kwanini alihangaika kudai TZ haina vikwazo? Pamoja na uzezeta wake alielewa kuwa anaulizwa kuhusu TZ kwani ndiko alikotokea.
Kwa uhayawani wake anadhani watu huwa hawafanyi research, anahisi mtu kalikurupua tu swali out of blue.
Huyo mbibi Mwajuma Kizimkazi ni fedheha kwa taifa.
Maisha lazima yaendelee, kiuhalisia hakuna namna unavyoweza kufahamu anavyojisikia ndani ya moyo wake na kama amechukua demu kukabili sonona au amekubali matokeo na maisha mengine yanaendelea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.