Recent content by M O N S T E R

  1. M O N S T E R

    JamiiForums Tanzania Rambirambi zigawanywe kwa Wajane wote kwa usawa

    Kwa hiyo wahuni wametutia changa la macho?
  2. M O N S T E R

    JamiiForums Tanzania Spy Catcher: Kuna Ujumbe wa siri ulitolewa hapa na Dkt; Nchimbi kabla Kujiuzulu kwake. | Code +255

    Ooh yeah, however clear patterns are obvious.
  3. M O N S T E R

    JamiiForums Tanzania Spy Catcher: Kuna Ujumbe wa siri ulitolewa hapa na Dkt; Nchimbi kabla Kujiuzulu kwake. | Code +255

    🔥🔥🔥🔥🔥 💯✔️
  4. M O N S T E R

    JamiiForums Tanzania Kutoonekana kwa Nchimbi: ACT huenda wa taarifa fulani kuhusu hatima ya Nchimbi

    Soon atatoka? How?
  5. M O N S T E R

    JamiiForums Tanzania Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa aandamwa na tuhuma mpya za usaliti.

    Naamini umeona jinsi inavyohusiana.
  6. M O N S T E R

    JamiiForums Tanzania Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa aandamwa na tuhuma mpya za usaliti.

    Ukiona asiyekutakia mema analalama ufanyayo basi shikilia hapohapo, Heche yuko njia sahihi na Supporter namba moja wa afanyayo ni mwenyekiti wake Lissu.
  7. M O N S T E R

    JamiiForums Tanzania Spy Catcher: Kuna Ujumbe wa siri ulitolewa hapa na Dkt; Nchimbi kabla Kujiuzulu kwake. | Code +255

    Thanks, hiki sikubahatika kukisoma ila sasa nitakisoma.
  8. M O N S T E R

    JamiiForums Tanzania Mtu unamiaka 50+ unaenda kununua kiwanja au eneo kwa 500m+ unawafya uwekezaji wa 2b-5b je pesa yako itarudi lini (kwa hapa bongo?)

    Je umasikini ni laana? Mbona comments nyingi ni za kipumbuvu mno? Vipi inferiority complex je ni laana pia? Kwanini wabantu humu wanajihesabu kama ni viumbe ambao hawapaswi kuwa binadamu? Je kuwa wabantu ni sawa tukisema ni mifugo iliyo advanced kidogo au hata labda ni mifugo kamili?
  9. M O N S T E R

    JamiiForums Tanzania Mkurugenzi wa Moshi Manispaa BILA kuhamishwa, kuna kila dalili (CCM) kukutana na changamoto kubwa zaidi katika Uchaguzi Mkuu 2030

    CCM haihitaji kura zenu bali inategemea tume ya uchaguzi peke yake hivyo hata wakivutana kwa kiwango gani bado wataendelea kujiweka kwenye uongozi unless mambo yabadilike na haki iwepo.
  10. M O N S T E R

    JamiiForums Tanzania Watanzania tuache kutengeneza taharuki. Kama Nchimbi ana shida familia yake ingesema

    Wapiga kura wake na aliokuwa makamu wao wa rais(whether legally or illegally) wana haki ya kufahamu alipo na hali yake ya sasa, vipi na kuhusu kwamba familia amepigwa biti kumuongelea, kuna ulinzi mkali na vyombo vya habari vya kimataifa vimezuiwa kuwahoji familia? This translates kwamba hawako...
  11. M O N S T E R

    JamiiForums Tanzania Spy Catcher: Kuna Ujumbe wa siri ulitolewa hapa na Dkt; Nchimbi kabla Kujiuzulu kwake. | Code +255

    For real man, nilikisoma nikiwa teenage back then, as the matter of fact nimesoma novels zote za Robert Rudlum enzi hizo akiwa muandishi best kwangu kabla 'kwa maoni yangu' hajafunikwa na John Grisham.
Back
Top Bottom