Ukiona asiyekutakia mema analalama ufanyayo basi shikilia hapohapo, Heche yuko njia sahihi na Supporter namba moja wa afanyayo ni mwenyekiti wake Lissu.
Je umasikini ni laana? Mbona comments nyingi ni za kipumbuvu mno? Vipi inferiority complex je ni laana pia? Kwanini wabantu humu wanajihesabu kama ni viumbe ambao hawapaswi kuwa binadamu? Je kuwa wabantu ni sawa tukisema ni mifugo iliyo advanced kidogo au hata labda ni mifugo kamili?
CCM haihitaji kura zenu bali inategemea tume ya uchaguzi peke yake hivyo hata wakivutana kwa kiwango gani bado wataendelea kujiweka kwenye uongozi unless mambo yabadilike na haki iwepo.
Wapiga kura wake na aliokuwa makamu wao wa rais(whether legally or illegally) wana haki ya kufahamu alipo na hali yake ya sasa, vipi na kuhusu kwamba familia amepigwa biti kumuongelea, kuna ulinzi mkali na vyombo vya habari vya kimataifa vimezuiwa kuwahoji familia? This translates kwamba hawako...
For real man, nilikisoma nikiwa teenage back then, as the matter of fact nimesoma novels zote za Robert Rudlum enzi hizo akiwa muandishi best kwangu kabla 'kwa maoni yangu' hajafunikwa na John Grisham.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.