Recent content by M O N S T E R

  1. M O N S T E R

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kwenye ukweli uongo hujitenga!, Baada ya idadi ya Vifo 518 kutolewa; Je, tuwashitaki wazushi waliotuchafua kwa Uzushi wa Maelfu ya Vifo?

    Calling spade a spade, even if the truth is unpleasant and uncomfortable we're obliged to speak exactly the deserved words without sugarcoating, using euphemism or beating around the bush. Mzee Chande ni muhuni kwa kuwa amefanya mambo ya kihuni, ingekuwa anajiheshimu, anayethamini utu, machungu...
  2. M O N S T E R

    JamiiForums Tanzania Kumbe Kanuni za Kiislamu za Wanawake Ku shake Hand na Wanaume Zinazingatiwa Tanzania tu na sio Russia

    Thubutu, might makes right. (Might is right).
  3. M O N S T E R

    JamiiForums Tanzania Kama Mzee Warioba anadai Polisi waliopiga watu risasi Oktoba 29 ndio watuhumiwa namba moja nani aliwapa polisi amri ya kupiga watu risasi?

    Jakaya hakuwa commander in chief wakati wa massacre so whatever transpired behind the scenes isn't of our concern bali ni kwamba amri ya shoot to kill imetoka kwa rais na si mtu mwingine yoyote otherwise ajitokeze hadhari atuhakikishie kuwa yeye ni kiazi na alipokea maagizo ya kufanya massacre...
  4. M O N S T E R

    JamiiForums Tanzania Kama Mzee Warioba anadai Polisi waliopiga watu risasi Oktoba 29 ndio watuhumiwa namba moja nani aliwapa polisi amri ya kupiga watu risasi?

    Hili swali very critical ndiyo Samia na Chande hawatamani/hawakutamani kabisa liwepo vinywani mwa Watanzania/Watanganyika. Ndiyo swali muhimu kuliko kitu kingine chochote katika yalitokea 29th-Oct-2025 mpaka 31st-Oct-2025. Uhai wa binadamu ndiyo number one priority sasa kama kama raia waliuawa...
  5. M O N S T E R

    JamiiForums Tanzania Rais Samia na dhana ya "Baniani mbaya kiatu chake dawa"

    Bingo, mtu anafanya kazi na analipwa lakini eti asifiwe na apambwe kwa kufanya kazi ambazo sadly hazifanyi kwa uadilifu, uaminifu wala hazifanyi kwa ukamilifu.
  6. M O N S T E R

    JamiiForums Tanzania Rais Samia na dhana ya "Baniani mbaya kiatu chake dawa"

    Yesu alipingwa na utawala King Herod Antipas, hapa Samia ndiye mtawala(ndiyo TZ modern era 'King Herod Antipas). NB: Samia hapingwi na utawala kwani yeye ndiye mtawala, anapingwa na common citizens.
  7. M O N S T E R

    JamiiForums Tanzania Rais Samia na dhana ya "Baniani mbaya kiatu chake dawa"

    Ukiona mtu anapingwa sana ujue mabaya yake vs mazuri yake tofauti ni kubwa mno, yaani mabaya ni mengi na hayo mabaya ni unbearable. Kumsifimia mtu mwenye mabaya yaliyokithiri labda uwe beneficiary wa udhalimu wake au uwe chawa.
  8. M O N S T E R

    JamiiForums Tanzania Rais Samia na dhana ya "Baniani mbaya kiatu chake dawa"

    Ndiyo hapo inatakiwa ujiulize, how terrible is her regime? Kwanini ukweli mchungu wa kumsema Samia unapata support kubwa?
  9. M O N S T E R

    JamiiForums Tanzania Ufafanuzi wa kina juu ya uwepo wa Abdul Hafidhi katika msafara na ziara ya Rais Samia na nafasi yake

    Mwizi, muuza rasilimali za nchi, Abdul ni mshiriki wa biashara za madawa ya kulevya, Abdul anaingiza silaha TZ hazieleweki zinafanya kazi gani, Samia anaua Watanganyika(massacre) kwa halaiki na maiti wanazipeleka wanapojua wao na uhuni mwigine mwingi tu haramu wanaoifanyia nchi ndiyo uwatetee...
  10. M O N S T E R

    JamiiForums Tanzania Tusema wewe ndiye Rais Samia, ungejibuje swali hili?

    Eti Watanganyika wafungishwe mkanda kwa sababu ya Abdul, Ridhiwani na Mchengerwa. Such a pathetic joke.
  11. M O N S T E R

    JamiiForums Tanzania Rais Samia aulizwa “Utafanya nini kukabiliana na vikwazo, Tanzania ikifanya biashara na Urusi”. Yeye ajibu “Hatuna Vikwazo vyovyote”

    Common sense is not common anymore. Swali lingekuwa na ambiguity kwanini alihangaika kudai TZ haina vikwazo? Pamoja na uzezeta wake alielewa kuwa anaulizwa kuhusu TZ kwani ndiko alikotokea.
  12. M O N S T E R

    JamiiForums Tanzania Rais Samia aulizwa “Utafanya nini kukabiliana na vikwazo, Tanzania ikifanya biashara na Urusi”. Yeye ajibu “Hatuna Vikwazo vyovyote”

    Kwa uhayawani wake anadhani watu huwa hawafanyi research, anahisi mtu kalikurupua tu swali out of blue. Huyo mbibi Mwajuma Kizimkazi ni fedheha kwa taifa.
  13. M O N S T E R

    JamiiForums Tanzania Kisaikolojia, ni kawaida mtu kuopoa demu siku ambayo mzazi wake amefariki?

    Maisha lazima yaendelee, kiuhalisia hakuna namna unavyoweza kufahamu anavyojisikia ndani ya moyo wake na kama amechukua demu kukabili sonona au amekubali matokeo na maisha mengine yanaendelea.
Back
Top Bottom