Malema si kiongozi wa kanisa, yuko sahihi kabisa kuwa msimamo wake huo na ni haki kwa chama chao kuwa na msimamo huo kwani wao hawabanwi na vitabu vya dini(though I'm not religious). Ni aibu kwa kiongozi wa kidini kwenda kinyume na vitabu anavyowaaminisha waumini wake.
Askofu Tutu sellout aliye-support ushoga mpaka na binti yake akaoa mwanamke wa Kizungu? Fedha za Church of England zilimtoa ufahamu mpaka akajitenga na Anglicans wenzake kutoka nchi nyingine za Afrika walipopinga legalization ya ushoga.
Sasa wanataka wanafunzi wanafunzi wafundishwe uongo? Je wakienda kwenye exchange programs wanataenda na uongo waliomezeshwa? Samia and CCM are curse to the country.
Mimi sina mtu wangu au mtu wetu popote ila niko kwenye suala na hao wengine unaowasema na huyo kizeruze nani mla ugoro, tuchukue reference ya aftermath ya ubwiaji ugoro ambayo ni meno.
Kizeruze huyo ni laana kwa nchi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.