Recent content by M Loveness

  1. M

    Ni kama vile NACTE wamefanya selection

    Sidhani Kama kuna aliyechaguliwa
  2. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Ngorongoro Nije Morogoro, mbeya , Iringa,wilaya yoyote.idara sekondari.
  3. M

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Nipo kwenye ofisi yenu hapa Arusha nataka ni renew line lkn cha kushangaza toka asubuhi tunaambiwa hakuna mtandao, mmetukera kwakweli isitoshe wengine tumetoka mbali .
  4. M

    Diploma holders mkosi gan huu tulionao jaman?

    Mungu ni mwaminifu, anatukumbuka kwahiyo atafanya.
  5. M

    Jamani nini cha kufanya maana sielewi

    Aisee Nina Uhakika Angekua Na Hela Usingesema, Kummbuka Uvumilivu Ni Ngao Moja Wapo Ktk Kudumisha Mahusiano Pia Ni Tunda La Roho, Ni Vizuri Kumsitiri Mwenzako Katika Hali Zote Za Maisha Mnazopitia Upendo Upo Ndani Ya Moyo Na Si Pesa Na Mtu Mwenye Penzi La Dhati Huwa Haangalii Uwezo Wa Mtu Ila...
  6. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Ngorongoro Arusha Mimi Nije Mbeya Mjini, Mby Vijijini, Mbozi Na Kyela. Idara Ya Sec Aliye Tayari Ani Pm.
  7. M

    Ajira mpya za walimu awamu ya pili hizi hapa

    Mkuu Tunaomba Ufafanue Vizuri Huo Mchako Ukoje? Ili Ambao Hawajapata Ajira Waelewe Vizuri.
  8. M

    Jamani mwenzenu nimesota mtaani hadi basi!!!

    Umeona Eeh! lakini atajirekebisha tumsamehe tu.
  9. M

    Ajira mpya za walimu awamu ya pili hizi hapa

    Poleni Sana, Jaribuni Kufuatilia.
Back
Top Bottom