Nipo kwenye ofisi yenu hapa Arusha nataka ni renew line lkn cha kushangaza toka asubuhi tunaambiwa hakuna mtandao, mmetukera kwakweli isitoshe wengine tumetoka mbali .
Aisee Nina Uhakika Angekua Na Hela Usingesema, Kummbuka Uvumilivu Ni Ngao Moja Wapo Ktk Kudumisha Mahusiano Pia Ni Tunda La Roho, Ni Vizuri Kumsitiri Mwenzako Katika Hali Zote Za Maisha Mnazopitia Upendo Upo Ndani Ya Moyo Na Si Pesa Na Mtu Mwenye Penzi La Dhati Huwa Haangalii Uwezo Wa Mtu Ila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.