Wapendwa habari zenu?
Tafadhali naomba mnisaidie kama kuna mtu anazijua bei au gharama kamili za usafirishaji wa magari mapya (IT) yanayotoka bandari ya Dar es salaam kwenda nchi jirani mfano Lusaka-Zambia, DR Congo, Kigali-Rwanda, Burundi nk.
Nitashukuru kama nitapata mchanganuo kamili wa...
Yes pia nimeiskiliza video kama vitu ni fake kuna tatizo gani? Mtoto akijipikisha ugali wa mchanga na mchuzi kama ni hukumu utamhukumu kwa uchafu tu and nothing more
Ha haa!! Malengo ya kuwepo kwako duniani anayajua aliyekuleta hapa, pia kwanini unakufa soma kitabu cha mwanzo sura tatu za mwanzoni utapata majibu yako yote mkuu, labda kama una imani nyingine basi hapo itabidi tu utumie kujibu kwa akili zako za kibinadamu ambazo kiukweli siyo ishu kabisaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.