Tuweni Macho watu wa MUNGU, Hali ni Mbaya

Tuweni Macho watu wa MUNGU, Hali ni Mbaya

NGERESHAA

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2017
Posts
1,299
Reaction score
1,809
Vita kwa sasa ni vikali kwa kweli ,Mambo haya tulizoea kuyasikia kama story sasa tunayaona kwa macho huku kwetu.
Shetani yupo Kazini kweli kweli .

Wito wangu watu wa MUNGU tuamke kweli kweli kupigana vita hivi,kwa imani yako unapo Abudu pigana kama una mwabudu MUNGU aliye hai.

Na kwa wale waliokuwa hawaamini Uwepo wa MUNGU ni wakati wa kuamini kwani mambo haya Hayatokei kwa bahati Mbaya
Kama shetani yupo Kwanini Huamini MUNGU yupo?Tumeona kazi za Mungu na pia Maneno yake yanadhibitika aliyo nena kupitia Manabii Mbalimbali .

Tuangalie hiyo Picha sina nyongeza.
Amina watu wa MUNGU?
 

Attachments

Mbona hiyo ya kitambo sana? Hata hivyo hapo unasambaza habari za upande upi sasa, wa shetani au wa Mungu?

Kuna kipindi shetani aliwahi kwenda likizo? Kama umejikita na kujidhatiti kwa Mungu hakikisha uko huko muda wote. Sio kwa sababu ya tukio au jambo lililotokea.
 
Mbona hiyo video haifunguki au moderators washafanya yao?!
 
Fake skeleton ,Fake skull sasa hapo kuna shida gani au video imesemaje ...... Hata hivyo kuna kitu kinaitwa #ScarryHouse kama anafungua ....Tembea uone siyo kila kitu ushetani
 
Mnajua ninyi watu mnaoishika sana dini mnatakiwa msiisahau pia ELIMU!...shida ya kuegemea upande mmoja mnajikuta na judgments ambazo ni too awkward kutokana na kuwa na uelewa mdogo wa mambo!
 
Ni kweli elimu ni muhimu sana kabisa lakini kumbuka tu hata Suleimani alikuwa na elimu lakini end of all akaomba hekima toka kwa Mungu
 
So much better vitu vya kiMungu ukajibu kwa hekima sana unless you dont believe in him. Thanks
 
mbona wamesema ni fake.

mwanzoni nilijua ni mifupa ya binadmu waliokufa,sasa kama ni fake kuna tatizo gani...ni viny'ago tu kama masanamu mengine
 
mbona wamesema ni fake.

mwanzoni nilijua ni mifupa ya binadmu waliokufa,sasa kama ni fake kuna tatizo gani...ni viny'ago tu kama masanamu mengine
Yes pia nimeiskiliza video kama vitu ni fake kuna tatizo gani? Mtoto akijipikisha ugali wa mchanga na mchuzi kama ni hukumu utamhukumu kwa uchafu tu and nothing more
 
Vita kwa sasa ni vikali kwa kweli ,Mambo haya tulizoea kuyasikia kama story sasa tunayaona kwa macho huku kwetu.
Shetani yupo Kazini kweli kweli .

Wito wangu watu wa MUNGU tuamke kweli kweli kupigana vita hivi,kwa imani yako unapo Abudu pigana kama una mwabudu MUNGU aliye hai.

Na kwa wale waliokuwa hawaamini Uwepo wa MUNGU ni wakati wa kuamini kwani mambo haya Hayatokei kwa bahati Mbaya
Kama shetani yupo Kwanini Huamini MUNGU yupo?Tumeona kazi za Mungu na pia Maneno yake yanadhibitika aliyo nena kupitia Manabii Mbalimbali .

Tuangalie hiyo Picha sina nyongeza.
Amina watu wa MUNGU?
mtoa mada utaangamia kwa kukosa maarifa kama siyo leo basi siku zijazo.
 
Back
Top Bottom