Uwezi kuomba kura kwa dk 6, lazma uonyeshe unania njema, shupavu na kusema vitu cya ukweli.
Pia siku 100 za kundoa umaskini tz ni ulaghai wa kitoto. Ushindi si kuzungusha mikono uku ukikenua meno. Wajipange saana. Hapa ni kazi
MAMBO 20 YANAYONIFANYA NISITHUBUTU HASILANI KUMPA KURA YANGU LOWASSA
1.Lowasa anaurafiki mkubwa na wafanyabiashara wakubwa ambo ni hatari sana kwa maendeleo
Ya watu wa chini
2.UFISADI ni mwiko kutamka mbele ya ukawa. Kumbe nazani ni kipaumbele chao.manake wataruhusu ufisadi
3.UKAWA...
MWAKA HUU BANA !!!!!
1.ukibandua mabango ya UKAWA Basi UMETUMWA NA CCM
2.ukisema lowasa ni fisadi na kuwa achaguliki BASI umepewa pesa
3.ukikatwa ukawa na kutimkia ACT, Basi we mnafiki,
4. Ukisema piiiiiiiiipoooooZZZ BASI umeamua kuipga chini ccm na kukumbatia mafisadi
5.ukisema MABADILIKO...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.