Recent content by Lycopescon

  1. L

    RC wa Kilimanjaro, Meck Sadiki na Majaji wawili Wajiuzulu. Rais Magufuli aridhia...

    Hao majaji, huyo Msuya anakashfa ya kuwaachia wauza unga na huyo Mujulizi ndiyo yule aliyepata mgao wa ESCROW toka kwa Rugemarila.
  2. L

    Uchungu wa uwaziri ni mkubwa kuliko uvamizi wa vyombo vya habari

    Nani alisababisha aende India? Hizi akili zingine sijui zipoje? Halafu unajiita Great thinker, bado tunasafari ndefu sana.
  3. L

    Nape Nnauye: Nikisema haya naonekana Mkorofi

    Alitembelea mikoa akiwa kama katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama na sio kama yeye binafsi. Apache unafiki uwaziri bado unamuuma.
  4. L

    Katibu wa bunge la Tanzania anapatikanaje?

    Achana TE="Retired, post: 20532343, member: 376984"]Karani tu kama makarani wengine! Acha dharau wewe! Huyo pia ndiye anayewalipa wabunge mishahara na malulupu lupu yote, pia ndiye anayeratibu shughuli za wabunge kwa ujumla. Maafisa wote wa Ofisi ya bunge wote wapo Chini yake! Kwa kifupi yeye...
  5. L

    Rais Magufuli amteua Charles Kichere kuwa Kamishina Mkuu TRA

    Katibu mkuu Ikulu yupo chini Katibu mkuu kiongozi, katibu mkuu kiongozi ni boss wa Makatibu wakuu wote, na kimsingi wote wanaripoti kwake.
  6. L

    UTEUZI: Rais Magufuli amteua Bw. Alphayo Kidata kuwa Katibu Mkuu, Ikulu

    Kijazi ndiye mkuu wa Makatibu wakuu wote na kiutaratibu inabidi waripoti kwake.
  7. L

    Serikali itoe tamko juu ya ufujaji huu unaofanywa na Makonda

    Hizi akli zingine no matope au udongo? Hizo habari za likizo ya miezi miwili si ni nyie na gazeti lenu la udaku mlizileta, halafu amerudi unaleta upuuzi hii. Utakuta na wewe ulipo unajiita Great thinker kwa akili Yako ndogo hii ya kuendeshwa na watu badala ya kutafakari jambo wewe kila...
  8. L

    Serikali (TAKUKURU) yakamata Tani 4,900 za Sukari iliyofichwa Mbagala na Tabata jijini Dar

    OTE="Mussolin5, post: 16116195, member: 286056"]Kuna ushahidi gani kama hiyo sukari ilikuwa imefichwa? ama kweli Nchi inaendeshwa kwa mizuka hizi akili ndogo kama yako ndiyo maana nchi hii haindelei kwa sabab mpo wengi watu wa aina hii. Shame on you.
  9. L

    TUCTA na Vyama vya Wafanyakazi, huu ndo muda wa kutetea wafanyakazi. Acheni kuwa mabubu, hali mbaya

    umepagawa, acha kazi kama vp ONGOKA, post: 15728738, member: 73408"]Mpaka leo nashindwa kueloewa kama kweli Rais Magufuli ana wataalamu wa kumshauri. Wakati kilio cha wafanyakazi kikiwa kuongezwa mishahara, yeye anakuja na hoja zake za kupunguza mishahara, tena ya wakuu wa mashirika...
  10. L

    Rais Magufuli: Mshahara wangu kwa Mwezi ni Sh. Milioni 9.5. Nitatoa salary slip...

    Kwa akili OTE="NJALI, post: 15738537, member: 197252"]Ataje na masurufu mengine, usikute allowance mil 30 mshara ndio M 9.5 hii Nchi hii, Ngoja tuone hii tamthiliya itaishia wapi. Kwa akili hizi Tz kuendelea bado sana tuu
  11. L

    Dr. Slaa njoo sasa utueleze Lowassa ni Mali au Lah!

    Lowasa sio mali hata kidogo, hiyo idadi ya wabunge na mameya ingogezeka tuu mwaka huu hasa ukizingatia kuwa vyama viliunganisha nguvu. Kumbuka mwaka 2010 vyama vya ushindani havikuunganisha nguvu lakini ccm ilipata tabu sana, na mwaka huo rais aliyekuwepo madarakan alikuwa anatetea kiti chake...
  12. L

    Tulitaka mabadiliko Mbona tunaogopa kubadilika?

    Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana mkuu. Hayo maigizo yalikuwa yanafanywa na Lowasa huyaoni ila sasa hivi ndo unayaona. Kwa kuwa na watu wa aina yako Tanzania kuja kuendelea ni ngumu sana, maana umekalia ushabiki tuu.
  13. L

    Bulembo ametia fora

    Karudie kusikiliza vizuri yale mazungumzo pale alimaanisha kuwa mtu ameshusha kiapo bila kusoma, kwa tafsiri kuwa ni mlemavu wa macho. Kumbuka pia aliongelea na uteuzi wa watu walemavu wengine nje na yule mlemavu wa macho
Back
Top Bottom