Hujajibu chochote. Cha maana. Umefeli wewe!
Unamtumia mama kkupata huruma Kumbe mnafiki mlafi huna tofauti na magamba wewe... pumbaf**
Eti
" mamà yangu ni mjumbe wa chama chao..."
Afadhali umegundua huna lako huku ulikuwa unatutia ushuzi tuutambaa mbele mhafidhinah mkubwa wewe
Naona hawa INTARAHAMWE wanaendelea na michezo yao ya kuigiza. Eti wameibua mizigo mingine. Teh! Wamechoka wenyewe mizigo wanaendelea kubebesheana mizigo utadhani mizigo ya mnadani.
Alowateua mwenyewe mzigo... anaewaibua mwenyewe mzigo kazi kweli kweli
CCM imejaa wezi majambazi na watekaji...! Wanatuzarau sana kwa kuwa hatunaga tabia ya kufanya counter attack iko siku tutasema Hapana iko siku tutasema imetosha...! Iko siku wakiteka mbunge wetu mmoja wao tutateka watano ikosiku wakiteka kiongozi wetu si tutapita na katibu mkuu wao ama makamu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.