Mkuu itapendeza Kama utachangia pia namna ulivyoweza kupiga hatuA ya kimaendeleo kwa shughuli za kilimo,na ni wakati upi na nini kilikushtua ukichanganya na ufugaji
Issue siyo kutochangamkiwa,mbona wadau wamejaribu kukuonyesha ili uwashawishi inabidi binafsi ufanye nini,unataaluma nzuri tu ya kuweza kujiajiri mbona Kama unajiogopea,ni kweli wAtu wengi huanzia chini Ila utambue WALIAMUA kuanza chini,sasa Kama nawe walitambua Hilo badala ya kupoteza muda wako...
Mhh
Nadhani mletamada amejibiwa ki aina kwa kweli,Kama kweli mlalamikiwa ndie huyo aliejibu mudy kaka kazi unayo kama ulijiona wewe u mjanja mamboyako binafsi ukamshirikisha huyo dogo jitahidi kutafakari alichokisema dogo na maisha aliyoishi dogo hapo kwako,sidhani Kama kweli uko salama sana...
Huu nao ni ukaraa,sasa jibu linahusiana vipi na kuweka mtu lock up,ni ukosefu wa busara na weledi wa nidhamu ya kiuongozi,sasa Kama wewe afisaa unaburuzwa kwa kutotambua wigo wa majukumu yako unataka nawe kuwaburuza walio chini yako,inawezekana mama mjane yuko vizuri anajitambua nakufahamu boss...
So tunasomea matarajio na si kuelimika,hapo ndipo mzgo ulipolalia,hivi unadhani watu wakiondoa hiyo drama vichwani mwao upepo wa kusoma unaweza ukapata mwelekeo upi.
Jikubali,Kuwa bize na mambo mengine,jichanganye muda ukiwa free,Kama inawezekana nenda mbaali nae kidogo wakati huo kujitengenezea new friends watakao kufanya uwe bize kidgo kuupa ubongo dira mpya ya kufuata baada ya iliyoyazoea.
Na pia kuvunja mahusiano huwa ni faraja ya kujipanga upya,wapi...
Ila nawe mbona unapita mule mule,no fact za unalolisema,nadhani ingependeza zaidi Kama ungemkosoa kwa facts nasi tukazijengea solutions hzo changamoto,huo ndio uungwana kusema 2 haiwezekani na hutoi options zako hiyo mhh
Na pia anauzia wapi,tujaribu kuchukua details zilizokuwa ndani ya taarifa,hii itatujenga hata mitazamo yetu,tusikimbilie kuikosoa elimu kwamba ni mbovu wakati umeshindwa kuelimika.
Nakupigia kura kwasabbu umekuwa muugwana kwa kutukumbuka na kutushukuru kupitia andiko lako,umejitahidi kugusa baadhi ya maeneo muhimu yanayokwamisha kijana kujiajiri hasa ukosefu wa ubunifu kutatua changamoto zinazomzunguka kijana,ukosefu wa umahiri wa mapema katika fani ingawa wengi hudharau...
Sa
safi mkuu lengo ni kuwainua waliofail au kuwainua vijana?
Maana kufail kwa mtu ni mchakato ambao kwa namna yeyote muhusika anapaswa atambue wapi alipokosea hasa kwa vijana wetu ambao wanamiliki simu ya laki 3,ambayo matumizi yake nisawa na angekuwa na cmu ya 25000 nikimaanisha cmu...
Angalizo
Kwa ufugaji wa kulea vifaranga ndani bila mama Yao,wanashauri uwapatie chakula kilicho kamilika,mlo wenye virutubisho vyote muhimu maana hawa vifaranga utakuwa umewaweka ndani haw watakuwa na mwanya wa kwenda nje kutafuta ziada ilokosekana kwenye chakula unachowapatia
Na Kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.