Wao wenyewe ni wajinga afu wanasimuliana mtu na kaka yake eti leo ninaratiba ya kwenda kukutana na ALIEKUA MPENZI WA MAREHEM KAKA YAO afu wanakuja kuomba ushari kwanza unasoma chuo gani dogo?
Tazizo lako bwana mdogo ulipokua huna kazi ulikua hujiamini hata kidogo kama wewe ni mwanaume na unaweza hivyo unategemewa na kuaminiwa na jamii ndio maana hata kupata wale wanawake wenye upeo mzuri na fikra zilizo tulia ilikuwia vigum
Sasa umepata kazi na mshahara mzuri ndio umekua na...
Nadhani ifike hatua tuwaze mambo ya msingi na yenye tija kuliko kuwaza starehe tu. Kweli asubuhi na mapema mtu unamka na uzi kama huu?
Uchumi utajenga saa ngapi?
Kwa kawaida familia zetu especially hizi za kitanzania zinaendana tu kwa kila kitu tofauti kama ipo ni ndogo sana kwamba huyu...
Dogo iko hivi inawezekana mkeo amepoteza hisia kwako kwasababu nyingi lkn kubwa zaidi ni kuto RIDHISHWA AU KUFIKISHWA KILELENI hivyo hafurahii uwepo wako kama MUME hivyo haoni maana ya maisha anayo ishi pia hilo linamfanya awe na msongo wa MAWAZO (STRESS) Hebu jitathimin ni wapi unakosea then...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.