Recent content by lwamgasa

  1. L

    Muigizaji Idris Elba apata Corona

    Picha yake umekula?
  2. L

    CORONA VIRUS: Inawezekana watu wakahama Dunia

    hahaha unajipanga kupambana na corona unakufa kwa malaria
  3. L

    Naona nikasombe mahitaji ya wiki mbili sasa

    Kajinga kameandika uzi.Kwa hiyo hizo wiki mbili corona atakuwa amerudi china?
  4. L

    Nchi za Magharibi zazidi kushangazwa na kinga waliyokuwanayo WaAfrika dhidi ya virusi vya Corona

    tukisikia ngozi nyeusi kafa kwa mafua hatuziki.huo ni uzembe mwafrika anakufa kwa risasi sio corona sijui kalina
  5. L

    Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini

    LIKUD kwani lazima kila uzi uchangie? yaani nakuonaga unakaujuaji ka kisekondari sekondari.Hebu hata kama huna nywele sehemu za siri jaribu kujiheshimu.Nenda kwenye majukwaa yenu ya kula mzigo kimasihara huko ndo level zako.
  6. L

    Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini

    Ukweli mwingi umefichwa na serikali ya KAGAME.Ni ukweli usiopingika kuwa tusi waliuawa wengi.ILA ukweli usiosemwa ni kwamba mara baada ya RPF kushika dola wahutu wenye mlengo wa kushoto na RPF walikipata cha mtema kuni.jeshi la intelahamwi lilisambazwa hivyo ikabidi wapiganaji wakimbilie...
  7. L

    Sheikh Shaffif: Yanga itashinda, hamna shaka katika hilo

    Simba kumfunga yanga hiyo itakuwa "habari" yanga kumfunga simba itakuwa "habari ya kusisimua"
  8. L

    Mohammed Dewji MO ampa Kongole Kocha Sven Vanderbroeck kwa kazi nzuri

    Kocha piga kazi.Jumapili tukate kabisa haya mazoea wanayoyaleta utapiamlo fc.Kama ukiweza waruhusu vijana wetu wawatafune mbute fc goal 5 ili wakome kutuzoea.
  9. L

    Ni mikoa mingapi umewahi kufika na una maoni gani Kwa ujumla ujumla baada ya kupita huko

    nimezunguka mikoa kibao.ila kwa wanaotafuta maisha geita kwenye migodi midogomidogo ukiwa na biashara hufi njaa.Namaanisha yakikushinda geita tafuta kitanzi ujimalize
  10. L

    Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus)

    Root wewe lini umewahi kuwa na akili?
Back
Top Bottom