mwanamke hata ajisafishe vp kama ana maambukiz ya bacteria/fungus huko chini hata akijisafisha vp hali ya kunuka itajirudia tuu baada ya mda mfupi kaa naye chini muongee kiutuuzima kusolve hilo tatizo kama alikuwa wa kupiga na kusepa sidhan kama utafanya hivyo ila kama n wako I mean una malengo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.