Sauti yetu iko kwenye box la kura kama chichiemu watatuletea bibi wa kizi mkazi.arudi huko.tunawabeba sana halafu bado wanaleta za kuokotwa.tunasubiri tamko la smz na jmt
Wanajamvi heshima kwenu.nyumba inauzwa mjini njombe mtaa wa hagafilo.bei 75milioni.ina vyumba zaidi ya 15.imeisha,ina kila kitu,kwa maana ya umeme na maji.inawapangaji full vyumba vyote.karibuni.mawasiliano 0758248358.nb hakuna dalali
Huyu mtu na wenzie walishatoka ila waliambiwa wasikae njombe kwa usalama wao.hii no baada ya upelelezi kubaini wahusika in masisiu yenywwe.mniamini mimi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.