Recent content by luwy

  1. L

    Sumaye usigeuze CHADEMA kichaka cha UFISADI wa ardhi.

    Ukipakua uchafu wa chooni ukauingiza chumbani kile chumba kitageuka choo na kile choo hakitanuka tena alisema DR SLAA mafisadi walipo ingia chadema
  2. L

    Mishahara ya marais wa Afrika

    Watu wamekosa FACT wanaropoka kweli nimeamini magufuli ni kiboko ya MAFISADI NA MALARUSHWA
  3. L

    Urafiki huu wa Rais Magufuli na watu hawa, maana yake ni nini?

    Kundi la kutenda bila kufikiri ni Bavicha waliopewa amri ya kulinda MAFISADI PAPA yaliyo hamia UKAWA yakiongozwa na mamvii Edo
  4. L

    Kuna haja ya kweli sasa ya UKAWA kutoshirikiana na CCM katika jambo lolote, kisiasa au kijamii

    Mwl Nyere aliwahi kusema udogo was akili ni moja ya udogo mbaya kuliko wote mtoa mada umetumia daraja La chini sana kufikiri UKAWA imekua dhoofu kwa kuruhusu kuwa GENGE LA MAFISADI NA WALA RUSHWA
  5. L

    Watch: "Mzee Lowassa anajua na Dunia inajua"

    Ha ha ha hiyo imekua mahabusu kwasababu watuhumiwa UFISADI wamejaa UKIWA Tanzania inajua EAC inajua AFRIJA inajua na DUNIA injua
  6. L

    Zitto: Jambazi wa jana hawezi kuwa malaika leo

    Ha ha ha asante ZZK Nitasema kweli katika yeye anitiae nguvu
  7. L

    Uenyekiti Umoja wa Afrika(AU): Tanzania kumtosa Kikwete?

    Gooo on Mriaho kikwete ww ni mwanadiplomasia wanakukumbuka kwa kunywanao juise ikulu
  8. L

    Tetesi: Katibu Mkuu CCM, Kinana kujiuzulu Novemba 2016?

    Mwanahalisi????? Bias information
  9. L

    Si kila mpinga CHADEMA ni CCM

    Ukipanda dhambi ya ubaguzi itakutafuna Mwl Nyerere . haya ya ulutheli Edo alipanda dhambi hiii
  10. L

    Rais Magufuli, Unataka Kuua Upinzani? fanya hivi.....

    Uaminifu ni ukurasa wa mwanzo wa kitabu cha HEKIMA upinzani wamepoteza hilo wamekaribisha watu ambao uadilifu wao unashaka ndio maana vita dhidi ya mafisad kwao imegeuka kuwa HIFADHI YA MAFISADI
  11. L

    NACTE Third round diploma majina yanatoka lini ?

    Asante mkuu ila mbona nikiangalia kwenye mtandao sioni
  12. L

    NACTE Third round diploma majina yanatoka lini ?

    Third round diploma majina yanatoka lini
Back
Top Bottom