Si kila mpinga CHADEMA ni CCM

Si kila mpinga CHADEMA ni CCM

kumekuwa na dhana kwa watu wa chama cha marangu kuwa kila anayeipinga chadema basi wanasema eti ni ccm kwanza
kuna tatizo gani mtu kuwa ccm why wewe uliye upinzani ujione unaakili sana kushinda mwenzako wa ccm kwanini umdharau mwenzako kana kwamba ww ndo mjuaji wa kila kitu .Tuache ujinga huu wa kila noinga chadema ni ccm na pia muwe mnakubali kukosolewa maana mkikisilewa tu utaskia we ccm nini na matusi kibao afu bado mnamtukana mkuu hataki kukosolewa wakati nyie ndo namba moja..jumapili njema

CDM wanaendekeza dhana ya ukabila kwa kukiita chama cha ACT wazalendo ni cha waha......ila wao wakiitwa wachaga wanakuwa pilipili.
 
BINAFSI SITAWAHI KUISHABIKIA CHADEMA WALA KUISUPPORT KWA NAMNA YOTOTE ILE....CHADEMA KIPO KILUTHERI ZAIDI...waislamu huwa tunaangalia penye faida nasi kinyume na hapo hatushabikii ovyo ovyo tu
Ukipanda dhambi ya ubaguzi itakutafuna Mwl Nyerere . haya ya ulutheli Edo alipanda dhambi hiii
 
BINAFSI SITAWAHI KUISHABIKIA CHADEMA WALA KUISUPPORT KWA NAMNA YOTOTE ILE....CHADEMA KIPO KILUTHERI ZAIDI...waislamu huwa tunaangalia penye faida nasi kinyume na hapo hatushabikii ovyo ovyo tu
Unadhalilisha waislamu... Ustadh hovyo.
 
Ukimpinga comrade Mbowe wewe ni mpinzani na msaliti. Muulize Zuberi Kabwe.
 
Mkuu acha kulalamika,peleka malalamiko yako kwenye ofisi za Chama au kwenye vikao. CCM inatosha kwa sasa kupunzika maana wametuibia sana. Watu wanakuona wewe mjinga ukiwa CCM kwa sababu una akili sawa na mababu na mabibi zako hata hutofautiani kiifkra tokea chama kushika hatamu. Acha kuogopa mabadiliko mkuu.Sisi tunapita na kizazi chetu kwa nini CCM haina kizazi chake wao ni kutaka kutawala tu maisha yao yote? Je kwa kizazi hiki hakitofautiani na kizazi cha babu na bibi zetu kuikumbatia CCM? Amka mkuu let see our generation
Ni kweli ccm imechoka, na imechoka hasa, hata mimi natamani sana atokee mbadala wa kuitawala nchi. Ccm imekuwa chama kikongwe sana, nadhani afrika ni moja ya vyama vikongwe ambavyo bado vipo madarakani.

Swali ni nani wa kuchukua nafasi ya ccm kwa sasa, hatuna upinzani imara, sio kwa upinzani huu wa Mbowe na kanda ya kaskazini...
 
Kwa maandishi na uandishi wako tu tayari unaonekana u mjinga. Tunajua ndio kuwa ACT, DOVUTWA Company na PAROLE pia ni Anti-CDM, sasa sijui kama tunatakiwa kuelezwa na wewe.

Kama huoni kuwa ni tatizo kuwa CCM basi you are beyond repair. Maana wenzako walioko huko wanajua kuna tatizo, lakini wapo huko kwa maslahi fulani, kwa hiyo wanafanya dhambi kwa makusudi. Wewe mdogo wangu usiyejua kituo wala herufi kubwa, upo upo tu, unadhani ni dini hiyo kwamba ufanye kwa imani...(tusi)

Mbona wewe huuoni upumbavu wako kwa kuita CDM ni chama cha Marangu ilhali mimi ninayekujibu kwetu Mara?

Tunaposema CHADEMA ni chama cha Marangu tunakuwa na maana ni chama cha Wachaga kwa maana wa Marangu ni kabila la Wachaga ndio maana yake na kama hutaki acha!
 
BINAFSI SITAWAHI KUISHABIKIA CHADEMA WALA KUISUPPORT KWA NAMNA YOTOTE ILE....CHADEMA KIPO KILUTHERI ZAIDI...waislamu huwa tunaangalia penye faida nasi kinyume na hapo hatushabikii ovyo ovyo tu
aisee hapo umeish tanzania tu ndo hvyo ungekuwa yemen cjui ingekuwaje!
 
kwan kwann nyie CCM mnahisi watu wa chadema wanajiona wana akili kuliko nyie?maana hata chuon utakuta mkiwepo washkaj mnadiscuss mambo ya siasa kukuta kijana mwenzenu anajtambulisha kuwa yy n ccm ni kazi kidogo mtajkuta wote ni vyama vya upinzan.....
 
na sio kila anaepinga ccm na serikali yake ni chadema.maana wengine ni watanzania wazalendo wa nchi yao na sio tuvikundi twenu huto mlito tubatiza jina la vyama vya siasa.
kumekuwa na dhana kwa watu wa chama cha marangu kuwa kila anayeipinga chadema basi wanasema eti ni ccm kwanza
kuna tatizo gani mtu kuwa ccm why wewe uliye upinzani ujione unaakili sana kushinda mwenzako wa ccm kwanini umdharau mwenzako kana kwamba ww ndo mjuaji wa kila kitu .Tuache ujinga huu wa kila noinga chadema ni ccm na pia muwe mnakubali kukosolewa maana mkikisilewa tu utaskia we ccm nini na matusi kibao afu bado mnamtukana mkuu hataki kukosolewa wakati nyie ndo namba moja..jumapili njema
Na kinyume chake ni sahihi pia, lkn pia ukumbuke kuwa hasara zote zinazo tokana na mipango mibovu, usimamizi wa hovyo, na na ufisadi ni mazao ya ccm mvikubali kama mnavyo hayo mafanikio kiduchu.
 
Mkuu acha kulalamika,peleka malalamiko yako kwenye ofisi za Chama au kwenye vikao. CCM inatosha kwa sasa kupunzika maana wametuibia sana. Watu wanakuona wewe mjinga ukiwa CCM kwa sababu una akili sawa na mababu na mabibi zako hata hutofautiani kiifkra tokea chama kushika hatamu. Acha kuogopa mabadiliko mkuu.Sisi tunapita na kizazi chetu kwa nini CCM haina kizazi chake wao ni kutaka kutawala tu maisha yao yote? Je kwa kizazi hiki hakitofautiani na kizazi cha babu na bibi zetu kuikumbatia CCM? Amka mkuu let see our generation
Kwa hiyo mamvi ni kizazi kipya?
 
kumekuwa na dhana kwa watu wa chama cha marangu kuwa kila anayeipinga chadema basi wanasema eti ni ccm kwanza
kuna tatizo gani mtu kuwa ccm why wewe uliye upinzani ujione unaakili sana kushinda mwenzako wa ccm kwanini umdharau mwenzako kana kwamba ww ndo mjuaji wa kila kitu .Tuache ujinga huu wa kila noinga chadema ni ccm na pia muwe mnakubali kukosolewa maana mkikisilewa tu utaskia we ccm nini na matusi kibao afu bado mnamtukana mkuu hataki kukosolewa wakati nyie ndo namba moja..jumapili njema
Hii ni miongoni mwa mada zenye akili sana. Tusubiri matusi sasa. Stay Tuned!
 
BINAFSI SITAWAHI KUISHABIKIA CHADEMA WALA KUISUPPORT KWA NAMNA YOTOTE ILE....CHADEMA KIPO KILUTHERI ZAIDI...waislamu huwa tunaangalia penye faida nasi kinyume na hapo hatushabikii ovyo ovyo tu
Waislam wa bakwata
 
BINAFSI SITAWAHI KUISHABIKIA CHADEMA WALA KUISUPPORT KWA NAMNA YOTOTE ILE....CHADEMA KIPO KILUTHERI ZAIDI...waislamu huwa tunaangalia penye faida nasi kinyume na hapo hatushabikii ovyo ovyo tu
Ccm ni cha kwenu waislam?
 
kwan kwann nyie CCM mnahisi watu wa chadema wanajiona wana akili kuliko nyie?maana hata chuon utakuta mkiwepo washkaj mnadiscuss mambo ya siasa kukuta kijana mwenzenu anajtambulisha kuwa yy n ccm ni kazi kidogo mtajkuta wote ni vyama vya upinzan.....
acha uongi iko chuo gani unazungumzia
 
Ukishawaelewa kua hawajielewi basi unaishi humu bila matatizo!
 
BINAFSI SITAWAHI KUISHABIKIA CHADEMA WALA KUISUPPORT KWA NAMNA YOTOTE ILE....CHADEMA KIPO KILUTHERI ZAIDI...waislamu huwa tunaangalia penye faida nasi kinyume na hapo hatushabikii ovyo ovyo tu
Samahani mkuu, wewe ndiye JPM?
 
Back
Top Bottom